Uchaguzi 2020 Viongozi wa chama okoeni CHADEMA Geita Mjini, kura za maoni zinakipasua

Uchaguzi 2020 Viongozi wa chama okoeni CHADEMA Geita Mjini, kura za maoni zinakipasua

Peneza anabebwa na makao makuu ilhali wanachama wa jimbo hawampendi na hawamtaki
 
Peneza anabebwa na makao makuu ilhali wanachama wa jimbo hawampendi na hawamtaki
Rushwa yakusafirisha wajumbe wa kata za vijijini,kuwalipia malazi,kuwapa posho Nakujitengene zeaa mazingira ya kupata kura ,kuna wajumbe walitaka kupigana ngumi kisa posho hasa kata za pembezoni
 
Back
Top Bottom