Acha wacharuanePeneza anabebwa na makao makuu ilhali wanachama wa jimbo hawampendi na hawamtaki
Upendo Peneza agombee viti maalumu na huyo mwingine ubunge wa jimbo!!Acha wacharuane
Rushwa yakusafirisha wajumbe wa kata za vijijini,kuwalipia malazi,kuwapa posho Nakujitengene zeaa mazingira ya kupata kura ,kuna wajumbe walitaka kupigana ngumi kisa posho hasa kata za pembezoniPeneza anabebwa na makao makuu ilhali wanachama wa jimbo hawampendi na hawamtaki
PointUpendo Peneza agombee viti maalumu na huyo mwingine ubunge wa jimbo!!
Na makucha yakeKumekucha