Kumekuwa na tabia sugu ya viongozi wengi wa Dini kusoma aya zinazohamasisha tu kutoa SADAKA.
Lakini pia wamekuwa wakibuni mbinu za kila aina za kuwakamua Waumini wao Makanisani.
Mambo ya ovyo yanayofanywa na viongozi wengi wa serikali hawana habari nayo kwa sababu wao wanashibishwa kwa SADAKA, MICHANGO, FUNGU LA KUMI, ZAKA nk. kutoka kwa Waumini wao.
Viongozi hawa wa Dini huji kusikia hata siku moja wanakemea hadharani maovu yanayofanywa na viongozi wengi wa serikali.
Kwa hiyo, kuanzia sasa tunataka viongozi wetu wa Dini waache mara moja kufumbia macho dhuluma zinazofanywa na baadhi ya viongozi wa serikali kwa wananchi.
Tunataka viongozi wa Dini wawe mstari wa mbele kabisa na wapaze sauti zao waziwazi kukemea maovu yanayofanywa na viongozi wengi wa serikali, baada ya hapo ndipo waje kuomba SADAKA, MICHANGO FUNGU LA KUMI, ZAKA, SHUKRANI nk.
Kama hawatafanya hivyo, automatically watakuwa wamekosa kabisa uhalali machoni pa Waumini wao na kwa sababu hiyo, Waumini hatutakuwa tayari kuimbishwa nyimbo za MICHANGO wakati masuala ya msingi kabisa hayafuatiliwi.
Kwa wakristo tukumbuke hata Yesu aliteswa kwa sababu aliwatetea Waumini kutokana na madhulumu ya viongozi wa serikali.
Viongozi wa Dini jitafakarini kwa kina, kama mmoja wenu ameshindwa kazi ya kuwapigania Waumini kwanza, akae pembeni waje wanaoweza kazi hiyo.
Lakini pia wamekuwa wakibuni mbinu za kila aina za kuwakamua Waumini wao Makanisani.
Mambo ya ovyo yanayofanywa na viongozi wengi wa serikali hawana habari nayo kwa sababu wao wanashibishwa kwa SADAKA, MICHANGO, FUNGU LA KUMI, ZAKA nk. kutoka kwa Waumini wao.
Viongozi hawa wa Dini huji kusikia hata siku moja wanakemea hadharani maovu yanayofanywa na viongozi wengi wa serikali.
Kwa hiyo, kuanzia sasa tunataka viongozi wetu wa Dini waache mara moja kufumbia macho dhuluma zinazofanywa na baadhi ya viongozi wa serikali kwa wananchi.
Tunataka viongozi wa Dini wawe mstari wa mbele kabisa na wapaze sauti zao waziwazi kukemea maovu yanayofanywa na viongozi wengi wa serikali, baada ya hapo ndipo waje kuomba SADAKA, MICHANGO FUNGU LA KUMI, ZAKA, SHUKRANI nk.
Kama hawatafanya hivyo, automatically watakuwa wamekosa kabisa uhalali machoni pa Waumini wao na kwa sababu hiyo, Waumini hatutakuwa tayari kuimbishwa nyimbo za MICHANGO wakati masuala ya msingi kabisa hayafuatiliwi.
Kwa wakristo tukumbuke hata Yesu aliteswa kwa sababu aliwatetea Waumini kutokana na madhulumu ya viongozi wa serikali.
Viongozi wa Dini jitafakarini kwa kina, kama mmoja wenu ameshindwa kazi ya kuwapigania Waumini kwanza, akae pembeni waje wanaoweza kazi hiyo.