Viongozi wa dini mko wapi kukemea vitendo vya watoto kulawitiwa?

Viongozi wa dini mko wapi kukemea vitendo vya watoto kulawitiwa?

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Vitendo vya watoto kulawitiwa kubakwa, kutoa mimba ndoa za jinsia moja mpaka kufikia wazazi kuwalazimisha wana wao kushiriki nao ngono vitendo vinavyoonyesha dhahiri nyakati za sodoma watumidhi Wa Mungu mko wapi ?

Tuambieni huuu ndio mwisho uliotajwa tujiandae au?

Hii ni agenda muhimu ambayo nilitegemea msilale usingizi kwa maana kinachofuata ni hatari.
 
Vitenfo vya watoto kulawitiwa kubskwa, kutoa mimba ndoa zs jindoa moja mpaka kufikia wazazi kuwalazimisha wana wao kushiriki nao ngono vitendo vinavyoonyesha dhahiri nyakati za sodoma watumidhi Wa mungu mko wapi, ? Tusmbieni huuu nfio mwisho uliotajwa tujisndae au,!?.
Hii no agenda muhimu ambayo nilotegemea udolale usingizi kwa maana kinachofuata no hatari.
Jifunze kwanza kuandika kabla hujatafuta walipo wachungaji na maaskofu.
 
Embu piga Fundo La Maji Kwanza...!

Hlf Tulia Kidogo.... angalia angalia ukikiona cha ku Edit kibonyeze ufanye mambo tena afu ulete labda utaeleweka..!
 
Vitendo vya watoto kulawitiwa kubakwa, kutoa mimba ndoa za jinsia moja mpaka kufikia wazazi kuwalazimisha wana wao kushiriki nao ngono vitendo vinavyoonyesha dhahiri nyakati za sodoma watumidhi Wa Mungu mko wapi ?

Tuambieni huuu ndio mwisho uliotajwa tujiandae au?

Hii ni agenda muhimu ambayo nilitegemea msilale usingizi kwa maana kinachofuata ni hatari.
Viongozi wa dini sio Mungu, hata wakisema watu wamesha changanyikiwa , hawawezi maliza jambo hili
 
Wewe unapeleka kesi ya ngedere kwa nyani.
Juzi juzi nimesikia ustaadh Fulani huko kwenye mji wa kitalii ameondoa marinda ya watoto zaidi ya arobaini wewe unataka hao ndio watetee watoto?
 
Hata viongozi wa dini wanafanya hayo mambo
 
Back
Top Bottom