Uchaguzi 2020 Viongozi wa dini na wananchi wameshabariki Rais Magufuli kuongezewa muda wa kusalia madarakani?

Uchaguzi 2020 Viongozi wa dini na wananchi wameshabariki Rais Magufuli kuongezewa muda wa kusalia madarakani?

1592037773180.png

Mzee wa kupita bila kupingwa
 
Sisi na viongoz wa Dini wabunge wote na wanach wote tumekubal Sasa tusubirin muda utaongea na tutajua ni watu gani wengi na wanataka nn
SEMA WEWE KESY NA NDUGAI NDIO MNATAKA RAISI AONGEZEWE MUDA, USITUSINGIZIE WATANZANIA WOTE
 
Habari wadau,

Kwa jinsi Mambo yanavyo endelea Tanzania. Ni wazi watu wengi na Taasisi nyingi zilikua zinasubiri nan waanzishe mada ili wao wasapoti.

Baada ya Wabunge wa TANZANIA kuweka wazi mapenz yao juu ya kutamani kuona Rais John Pombe Magufuli anaongezewa muda wa kusalia Madarakan. Watanzania wote wameonyesha kukubalia na hoja hiyo, tena bila kupigwa

Huu ni muda wetu Watanzania wa kutumia Uhuru wetu wa kikatiba kukamilisha yale tunayoyataka kwani Tanzania ni sisi pekee ndio wenye mamlaka ya kuibadilisha Katiba.

Pia napenda niwakumbushe Chadema ukiona unamlaum kila mtu mwenye maisha yako jua wewe ndio tatizo.

CHADEMA leo wanalaum serikali; wanalaumu wananchi; wanalaum Jeshi la Police; wanalaum Jeshi la Wananchi; wanalaumu Takukuru; wanalaum kila sekta Tanzania.

Pia wamefika mbali na kuanza kulaum mpaka viongozi wa dini kuw wamewatenga pia wanajua wanafanya yote hayo na wanafaham kila mtu TANZANIA Hana habari ndiomana kila siku wanatoa lawama zao

Mara watanzania wamekaa kimia wakat katiba inataka kuchezewa wamesahau kua hata wao kwa mwenyekit wao mpenzi walipo kua wanaivunja katiba walikaa kimia na kusema kua mwamba tuvushe tumekubal na hakuna Alie walaum kwa wao kufanya kile kitu ambacho kimepelekea matatizo ya mwenyekit kujifanyia anacho taka Mpaka kufikia hatua ya kuanguka kisa kule..

Watanzania tumeamu tumpe NCH Magufuli atuvushe
Weka tu tume huru ya uchaguzi uone mziki wake.
Wabunge wanaojaribu kujikomba kwa rais sii kwamba wanampeda sana hasha!
Ni wabunge wanaotaka kumtumia rais kama ngazi kwao kusalia madarakani au kurudi bungeni.
Wanafahamu fika kwamba pasipokuwa na dikteta wa kuwarudisha kwenye nafasi zao kwa nguvu bila kuheshimu maamuzi ya kura za wananchi hawatarudi.
Na mtu mwenye uwezo wa kuvunja katiba na kupora haki ya kuchagua ya raia bila soni ni Magu.
Hii ndio sababu ya waoga wote kujikomba kwake kuanzia na yule mkuu wa bunge lililojivua ufahamu.
 
Kuomba tume huru nayo ni dalili ya kushindwa miaka yote mlikua wapi Tena kipind bado chadema ni vijana hamkuona Kama tume Sio huru Ila mmekuja kuona sasaiv huenda ni akili zenu zimesha zeeka au konyag imekolea
Weka tu tume huru ya uchaguzi uone mziki wake.
Wabunge wanaojaribu kujikomba kwa rais sii kwamba wanampeda sana hasha!
Ni wabunge wanaotaka kumtumia rais kama ngazi kwao kusalia madarakani au kurudi bungeni.
Wanafahamu fika kwamba pasipokuwa na dikteta wa kuwarudisha kwenye nafasi zao kwa nguvu bila kuheshimu maamuzi ya kura za wananchi hawatarudi.
Na mtu mwenye uwezo wa kuvunja katiba na kupora haki ya kuchagua ya raia bila soni ni Magu.
Hii ndio sababu ya waoga wote kujikomba kwake kuanzia na yule mkuu wa bunge lililojivua ufahamu.
 
Habari wadau,

Kwa jinsi Mambo yanavyo endelea Tanzania. Ni wazi watu wengi na Taasisi nyingi zilikua zinasubiri nan waanzishe mada ili wao wasapoti.

Baada ya Wabunge wa TANZANIA kuweka wazi mapenz yao juu ya kutamani kuona Rais John Pombe Magufuli anaongezewa muda wa kusalia Madarakan. Watanzania wote wameonyesha kukubalia na hoja hiyo, tena bila kupigwa

Huu ni muda wetu Watanzania wa kutumia Uhuru wetu wa kikatiba kukamilisha yale tunayoyataka kwani Tanzania ni sisi pekee ndio wenye mamlaka ya kuibadilisha Katiba.

Pia napenda niwakumbushe Chadema ukiona unamlaum kila mtu mwenye maisha yako jua wewe ndio tatizo.

CHADEMA leo wanalaum serikali; wanalaumu wananchi; wanalaum Jeshi la Police; wanalaum Jeshi la Wananchi; wanalaumu Takukuru; wanalaum kila sekta Tanzania.

Pia wamefika mbali na kuanza kulaum mpaka viongozi wa dini kuw wamewatenga pia wanajua wanafanya yote hayo na wanafaham kila mtu TANZANIA Hana habari ndiomana kila siku wanatoa lawama zao

Mara watanzania wamekaa kimia wakat katiba inataka kuchezewa wamesahau kua hata wao kwa mwenyekit wao mpenzi walipo kua wanaivunja katiba walikaa kimia na kusema kua mwamba tuvushe tumekubal na hakuna Alie walaum kwa wao kufanya kile kitu ambacho kimepelekea matatizo ya mwenyekit kujifanyia anacho taka Mpaka kufikia hatua ya kuanguka kisa kule..

Watanzania tumeamu tumpe NCH Magufuli atuvushe

Hahahahaha
 
watu hawawezi kuongea kitu kwa sasa.
SABABU MUHUSIKA MWENYEWE HAJASEMA KUWA ANATAKA KUONGEZA.
sasa waseme nini?.
atamke mwenyewe kwa mdomo wake kuwa "NATAKA KUONGEZA MUDA WA KUKAA MADARAKANI"
 
Habari wadau,

Kwa jinsi Mambo yanavyo endelea Tanzania. Ni wazi watu wengi na Taasisi nyingi zilikua zinasubiri nan waanzishe mada ili wao wasapoti.

Baada ya Wabunge wa TANZANIA kuweka wazi mapenz yao juu ya kutamani kuona Rais John Pombe Magufuli anaongezewa muda wa kusalia Madarakan. Watanzania wote wameonyesha kukubalia na hoja hiyo, tena bila kupigwa

Huu ni muda wetu Watanzania wa kutumia Uhuru wetu wa kikatiba kukamilisha yale tunayoyataka kwani Tanzania ni sisi pekee ndio wenye mamlaka ya kuibadilisha Katiba.

Pia napenda niwakumbushe Chadema ukiona unamlaum kila mtu mwenye maisha yako jua wewe ndio tatizo.

CHADEMA leo wanalaum serikali; wanalaumu wananchi; wanalaum Jeshi la Police; wanalaum Jeshi la Wananchi; wanalaumu Takukuru; wanalaum kila sekta Tanzania.

Pia wamefika mbali na kuanza kulaum mpaka viongozi wa dini kuw wamewatenga pia wanajua wanafanya yote hayo na wanafaham kila mtu TANZANIA Hana habari ndiomana kila siku wanatoa lawama zao

Mara watanzania wamekaa kimia wakat katiba inataka kuchezewa wamesahau kua hata wao kwa mwenyekit wao mpenzi walipo kua wanaivunja katiba walikaa kimia na kusema kua mwamba tuvushe tumekubal na hakuna Alie walaum kwa wao kufanya kile kitu ambacho kimepelekea matatizo ya mwenyekit kujifanyia anacho taka Mpaka kufikia hatua ya kuanguka kisa kule..

Watanzania tumeamu tumpe NCH Magufuli atuvushe
Huna jipya Bora ungamaze kiongozi gani wa dini amekubali au Ni hao walioshindwa kukemea unyanyasaji na uuaji unaofanyika kila siku ndio unawaita viongozi hao wanafiki walioshuhudia lissu akipigwa risasi na wakakaa kimya,ao wanaona watu wakitekwa na wengine kuuwawa na hawatoii kauli,hao Ni wanafiki sio viongozi wa Mungu,Ni wachumia tumbo tuu.
 
Wametumwa na Nani?Wenye maamuzi Ni sisi wananchi hatujawatuma.Unamuongezeaje muda my ambaye hajamaliza hata muda wake?
 
Back
Top Bottom