Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 767
- 1,272
Viongozi wa dini hasa dini za Kikristo mnaombwa kuwakumbusha viongozi wa kisiasa kuheshimu Mimbari wakati wa ibada.
Mimbari ni sehemu ambayo Walawi wanaruhusiwa kufanya Ibada na matamko yao kama walivyoamrishwa na Mwenyezi Mungu.
Waislamu wenyewe hili lipo wazi Masheikh ndio huruhusiwa kusimama na kutoa mawaidha. Hii yawezekana na mfumo wao mzuri wa kuwajengea Waumini wao tokea wakiwa wadogo ( Madrassa) kutii Mamlaka na Amri za Mwenyezi Mungu.
Ni muhimu kwa Wenzetu viongozi wa dini za Kikristo kujenga huu utaratibu kwa Waumini kuanzia kwenye Bible sunday schools na Pathfinder. Kwa kuwa viongozi hata wanapopata mamlaka hawataweza kutoa matamko ya kufuru.
Mfano kumfananisha mwanadamu na Mwenyezi MUNGU ambayo ni Kufuru kwa mafundisho ya dini zote.
Soma 2Samwel 6: 6-7 Nini kilimpata Uzzah alietaka kusaidia kushika sanduku la Bwana wakati hii ilikuwa ni kazi ya Walawi.
Mimbari ni sehemu ambayo Walawi wanaruhusiwa kufanya Ibada na matamko yao kama walivyoamrishwa na Mwenyezi Mungu.
Waislamu wenyewe hili lipo wazi Masheikh ndio huruhusiwa kusimama na kutoa mawaidha. Hii yawezekana na mfumo wao mzuri wa kuwajengea Waumini wao tokea wakiwa wadogo ( Madrassa) kutii Mamlaka na Amri za Mwenyezi Mungu.
Ni muhimu kwa Wenzetu viongozi wa dini za Kikristo kujenga huu utaratibu kwa Waumini kuanzia kwenye Bible sunday schools na Pathfinder. Kwa kuwa viongozi hata wanapopata mamlaka hawataweza kutoa matamko ya kufuru.
Mfano kumfananisha mwanadamu na Mwenyezi MUNGU ambayo ni Kufuru kwa mafundisho ya dini zote.
Soma 2Samwel 6: 6-7 Nini kilimpata Uzzah alietaka kusaidia kushika sanduku la Bwana wakati hii ilikuwa ni kazi ya Walawi.