Viongozi wa Dini tuwaelimishe viongozi wanasiasa kutosogelea Madhahabu wakati wa Ibada

Naunga mkono hoja
 
Taifa na serikali ya Tanzania haina dini, wananchi na viongozi wake ndio wenye imani za kidini.
Kiongozi was kisiasa akienda katika mikusanyiko ya ibada anakwenda kama muumini mwingine yeyote.
Hata hivyo, nyakati hizi kumekuwepo ujinga wa ushirikiano usio rasmi wa wanasiasa na viongozi wa dini dhidi ya wananchi, ambao matokeo yake ni wanasiasa kutumia majukwaa ya kidini.
Ikumbukwe kuwa dini na siasa ni njia tu za kumdhibiti mwananchi ili kunyonya jasho lake.
 
Napoleone

Siku akipatikana Rais mpagani msije mkaja hapa kulialia.

Shida ya binadamu umimi umetujaa mpaka mbele hatutaki ona.

Utawala mbovu wa mwendazake tuliupigia kelele ila kuna watu sababu ya ukabila,udini na mikate waliyokuwa wanapata kwakwe wakamute ila kilichotokea tumekiona.

Sababu ya utendaji wake mbovu karibu mapadre na masista 50+ wakafariki kizembe nalo hili tutaona tu!

KKKT, RC, Bakwata na wengineo nyie kimbizaneni kupata sifa hewa za kusalisha na kuwazika hao viongozi wa kiserikali kimashindano na mbwembwe matunda si muda mrefu tutayavuna.
 
Naunga mkono hoja
 
Majaliwa yeye ni dini gani na je yeye ni kiongozi wa dini.

Tunawaongelea wanasiasa kwa ujumla
Kwanini wapande kwenye miambali ya makanisa na misikiti?

1. Television na maredio yapo

2. Mikutano ya kisiasa ipo

3. Bungeni

4. Ziarani wanaweza kuhutubia

Kwanini wanapeleka Makaisari misikitini na makanisani kuhodhi Ibada za watu?
 
Kama hili popoma hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Serikali ya Tz haina dini.
Dini za viongozi haziwahusu sana wananchi.
Cha muhimu ni Kiongozi kufuata katiba na sheria katika maamuzi na kutenda.
Waovu, wauaji na watesi hujificha kwenye kichaka cha dini na kumtaja Mungu kwa unafiki kuwadanganya wananchi.
Dini na haki ni vitu viwili tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…