Viongozi wa kidini wa Kamati ya Amani Tanzania inayojumuisha viongozi wa kidini na madhehebu mbalimbali Tanzania waonana na Maalim Seif.
Kiongozi wa ujumbe wa Kamati ya Amani alibainisha ni wao ndiyo walimuandikia barua kuomba waonane naye Maalim Seif na wakatoa shukurani kwa mgombea wa tiketi ya ACT-WAZALENDO uRais wa SMZ 2020 kuwakubalia kuonana nao.
Kiongozi wa ujumbe wa Kamati ya Amani alibainisha ni wao ndiyo walimuandikia barua kuomba waonane naye Maalim Seif na wakatoa shukurani kwa mgombea wa tiketi ya ACT-WAZALENDO uRais wa SMZ 2020 kuwakubalia kuonana nao.