Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Huyu aliyeshindwa hata majukumu ya uwaziri ndio agombee Urais ?
atakuja mansuri yussuf himidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuja mansuri yussuf himidi
mkuu alishindwaje, hebu jaribu kunikumbushaHuyu aliyeshindwa hata majukumu ya uwaziri ndio agombee Urais ?
mkuu alishindwaje, hebu jaribu kunikumbusha
Kawe Alumni unafurahisha sana.Huyu alipewa uwaziri na shein kipindi kile maalim yupo serkalini akaoa mke Oman akasahau majukumu ya uwaziri
Amshamalizana nao mkuu ..jibu lake ni moja tu kama haki itakwepo amani ipo kinyume chake hakuna amani na wasitegemee hilo litatokeaHawa viongozi wa kiroho ni wa ajabu sana..
Hawana ujasiri wa kukemea maovu ya watawala kunyanyasa na kuonea wananchi, lakini wana guts za kumshauri mtu anayepigania haki kuacha kufanya vile...
Hili ni tatizo. Maalim Seif Sharif Hamad, usije kufuata ushauri wa viongozi hao wa dini za kuzimu..
Viongozi wa dini ya kweli ya Mungu husugua magoti yao kuombea taifa na siyo kwenda kushawishi watetea haki za wananchi kuacha kutetea haki kwa kisingizio cha "kuwa wazalendo" ama "kulinda amani ya nchi"..
Wakumbuke kuwa AMANI ni tunda la HAKI...
Wanaihatarisha AMANI ya nchi kwa sasa wako wazi. Ni watawala na CCM wakitumia polisi na TISS na magenge ya uhalifu yaliyodhaminiwa na kulindwa na serikali ya CCM..!!
Kawe Alumni unafurahisha sana.
acha niheshimu mtazamo wako
teh teh tehJe hakuwa waziri ?
Aliwajua kuwa ni wanafiki hivyo akawasukumia boli wahangaike nalo huko walikotoka, wasingekuwa wanafiki wangeanzia kwenye tume wajue chanzo kisha waende kwa Maalim.Maalim Seif azingatie yale yote aliyo shauriwa.
Mwinyi mkubwa alishindwa uwaziri na akawa raisi au umesahau kiazi weweHuyu alipewa uwaziri na shein kipindi kile maalim yupo serkalini akaoa mke Oman akasahau majukumu ya uwaziri