Viongozi wa dini wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali

Viongozi wa dini wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jopo la wachungaji na viongozi wa dini mbalimbali wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 wa kijiwe cha Kilimanjaro ndani ya Halmshauri ya Mji Tunduma kwa lengo la kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali zilizotokea mfululizo ndani ya mwezi Agosti na kusababisha vifo.

Chanzo: East Africa TV

Ajali zinazuilika kwa Maombi au kwa Watu kupewa Elimu, Kujitambua na Mamlaka kutekeleza Wajibu wake Kisheria?
 
Jopo la wachungaji na viongozi wa dini mbalimbali wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 wa kijiwe cha Kilimanjaro ndani ya Halmshauri ya Mji Tunduma kwa lengo la kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali zilizotokea mfululizo ndani ya mwezi Agosti na kusababisha vifo.

Chanzo: East Africa TV

Ajali zinazuilika kwa Maombi au kwa Watu kupewa Elimu, Kujitambua na Mamlaka kutekeleza Wajibu wake Kisheria?
Pale tunduma hadi mbeya kubwa ni barabara na elimu kwa boda boda na bajaji
Ile barabara ni nyembamba sana na ina mawimbi mnapishana kwa tabu mno tusimsingizie shetani kwa hili
 
Pale tunduma hadi mbeya kubwa ni barabara na elimu kwa boda boda na bajaji
Ile barabara ni nyembamba sana na ina mawimbi mnapishana kwa tabu mno tusimsingizie shetani kwa hili
Halafu Viongozi wa Dini wameenda. Yaani kuna Watu fulani Wapumbavu wanatufanya Waafrika wote ni Wapumbavu.
 
Jopo la wachungaji na viongozi wa dini mbalimbali wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 wa kijiwe cha Kilimanjaro ndani ya Halmshauri ya Mji Tunduma kwa lengo la kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali zilizotokea mfululizo ndani ya mwezi Agosti na kusababisha vifo.

Chanzo: East Africa TV

Ajali zinazuilika kwa Maombi au kwa Watu kupewa Elimu, Kujitambua na Mamlaka kutekeleza Wajibu wake Kisheria?
Wakimaliza hapo waombee na ubakaji
 
Jopo la wachungaji na viongozi wa dini mbalimbali wamekutana na madereva bodaboda zaidi ya 200 wa kijiwe cha Kilimanjaro ndani ya Halmshauri ya Mji Tunduma kwa lengo la kufanya maombi na kuondoa pepo la ajali zilizotokea mfululizo ndani ya mwezi Agosti na kusababisha vifo.

Chanzo: East Africa TV

Ajali zinazuilika kwa Maombi au kwa Watu kupewa Elimu, Kujitambua na Mamlaka kutekeleza Wajibu wake Kisheria?
Pabaya sana pale, maombi hayawezi kufanya chochote kwa boda boda wavuta bangi
 
Hapo Boda inatakiwa wabadili tabia zao.

Waache Bangi,

Pombe

Na wajifunze sheria za barabarani ajali zikiendelea basi waombewe.
 
Hakuna Dhehebu linalojitambua na lenye Watu Werevu zaidi duniani kote kama Dhehebu langu tu Takatifu la Katoliki.
Bora ungetulia kuliko kukandia madhehebu mengine na kusifia ukatoliki

Mna makandokando mengi, hamna tofauti na hao wengine

Nikianza kutoa hoja itabidi watu watuache mimi na wewe
 
Back
Top Bottom