GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Umemaliza kila Kitu na ungekuwa darasani Kwangu hapa ningekupa 98% ambayo ni Distinction A kabisa kwa Madini.Hapo Boda inatakiwa wabadili tabia zao.
Waache Bangi,
Pombe
Na wajifunze sheria za barabarani ajali zikiendelea basi waombewe.