Viongozi wa Dodoma Jiji chukueni tahadhari

Viongozi wa Dodoma Jiji chukueni tahadhari

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
15,771
Reaction score
14,294
Pale mlipoweka Kambi Kibaha wachezaji hawako salama. Hakuna ulinzi,basi lenu mnapolipaki pale shuleni linaonekana wazi. Unaingia pale lodge unakutana na wachezaji na unaongea nao bila shida, sasa kama Mimi ni mnazi wa timu flani si ni rahisi kuwarubuni?

Timu zetu za kariakoo zina watu maeneo hayo, tena ni wanazi kwelikweli.

Chukua hatua
 
Toka lini Dodoma jiji akawa tishio kwa mnyama ?wajiandae kupigwa tu iyo kesho
 
Ndo tumefikia hatua ya kutoaminiana kiasi hicho kweli?
Wachezaji si wanasimu, wanawasiliana na watu mbalimbali?
 
Back
Top Bottom