lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
“Viongozi wa juu Simba wanashughilikia mchakato wa kupata Mkurugenzi wa Michezo klabuni kwetu, itasaidia kupunguza Majuku kwa CEO na kwa vile tunataka kuchua Kimataifa lazima tuishi Levo za Kimataifa”
AHMED ALLY, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC 🇹🇿.
AHMED ALLY, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC 🇹🇿.