Viongozi wa juu Simba wanashughilikia mchakato wa kupata Mkurugenzi wa Michezo

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
“Viongozi wa juu Simba wanashughilikia mchakato wa kupata Mkurugenzi wa Michezo klabuni kwetu, itasaidia kupunguza Majuku kwa CEO na kwa vile tunataka kuchua Kimataifa lazima tuishi Levo za Kimataifa”

AHMED ALLY, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC 🇹🇿.

 
CEO wa Simba ni nani kwa sasa?
 
Ishu inakuja ni kwenye majukumu yake, je atafanya majukumu yake bila kiingiliwa? Je atakacho shauri kitasikilizwa au ndio mambo ya kuambiwa haiwezekani ela hakuna. Maana hivi vilabu vya kariakoo kwa ubahili na ubsbsishaji vinajitahidi. Viongozi wengine wanaweza kuwa kama mapambo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…