Viongozi wa kisabato wa sasa ninyi ni kikwazo kwa watu kushika Sabato ya Bwana

Viongozi wa kisabato wa sasa ninyi ni kikwazo kwa watu kushika Sabato ya Bwana

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Moja ya Amri za Mungu katika kitabu cha kutoka 20 ni kuikumbuka siku ya Sabato na kuitakasa.

Na hakuna ubishi kuwa siku ya saba ndiyo siku ya Sabato. Pia hakuna ubishi kuwa siku ya saba ya juma ni jumamosi. Labda kwa waswahili tu ambao wengi ni wavivu wa kusoma na kufikiri.

Hata hivyo ninasikitika kwa viongozi wa dini kujuzima data na kuendelea kuhukumu watu kwa vitu vinavyoweza kufafanuliwa vikaeleweka lakini wao wamechagua kuwa mafarisayo.

Nitawafanya mjiulize maswali kisha myajibu ama mbaki kuwa hivyo mlivyo kama vikwazo vya roho zinazotamani kupata majibu sahihi.

1. Kanisa la SDA( wasabato) mnamiliki hospitali.Je hamfanyi kazi siku ya Sabato?

2. Je mnakubali ili hospitali ifanye kazi vizuri lazima kuwe na umeme?( Tanesco wawe kazini)
Kwamba wagonjwa wengine watakuja kwa usafiri wa umma ( kwamba boda boda,tax na daladala wawe kazini?)

3. Je makanisa,ofisi zenu na majengo yenu yana walinzi wanafanya kazi siku saba kwa wiki ikiwepo na siku ya Sabato?

4. Je mtu kuna sehemu yoyote kwenye biblia inaonesha utaratibu wa ibada inayofanyika siku hizi kwamba usipoifaya hiyo ndio unaonekana hujashika Sabato?
Iwapo mtu ataishi maisha ya utakatifu,bila kufuata mipangilio yenu ya ibada bado ni mvunja Sabato au mvunja kanuni za kanisa la kisabato?

5. Mnazungumziaje kauli ya "msiisumbukie kesho" aliyosema Yesu mwenyewe,pia katika kitabu cha Waebrania kinapozungumzia Sabato, kinasema wazi Mungu alitoa siku nyingine.Hiyo siku nyingine akailezea ni ipi.

Alinukuu Daudi akiisema hiyo siku nyingi kuwa ni "Leo"
Mwanadamu amepewa siku moja tu iitwayo " Leo" .Kwamba kila iitwapo leo binadamu anapaswa kuwa mtakatifu kwa kuisikia sauti ya Bwana.Je mtu aishiye "Leo" ..kwa kumtukuza Mungu,anawezaje kuvunja Sabato ya siku ya Saba?

Mwisho niwatakie Sabato njema na kila mmoja kuitafakari kila leo Mungu anayompatia
 
Moja ya Amri za Mungu katika kitabu cha kutoka 20 ni kuikumbuka siku ya Sabato na kuitakasa.
Na hakuna ubishi kuwa siku ya saba ndiyo siku ya Sabato.Pia hakuna ubishi kuwa siku ya saba ya juma ni jumamosi.Labda ko" ..kwa kumtukuza Mungu,anawezaje kuvunja Sabato ya siku ya Saba?

Mwisho niwatakie Sabato njema na kila mmoja kuitafakari kila leo Mungu anayompatia
Jibu lake ni simple tu, Je ikiwa ng'ombe wako atatumbukia kisimani utamuacha kumtoa kisa ni siku ya sabato ? Sidhani, basi ni halali kutenda mema siku ya sabato.

Kitu cha ziada, dunia imebadilika kiasi kwamba watu wametofautisha vingi na vyote vinachukuliwa kama kazi
Ilhali kiuhalisia na kitafsiri ya kiimani ni kama ibada, kitu kama kutoa msaada, kutibu mgonjwa, kuuguza n.k

Kuiheshimu Sabato kunaanza na kuweka umuhimu wa kutofanya kazi na kuitumia kwa ibada na pumziko

Mfano. Nauza Duka la vifaa vya ujenzi or stationery, electronics hivi vitu nikifunga siku ya sabato kuna kosa gani?? Sababu ni kazi kama kazi nyingine na hakuna udharura wa hiko

Kuhusu hospitali hiyo ni dharura na ni muhimu kuwepo wakati wote,
Je kuna mtu ataenda hospitali ikiwa si mgonjwa?
je ushawahi kwenda hospitali muda wa usiku??

Je ulikuta watu 100?? Unakuta mtu wa zamu (nesi/daktari) lakini utapata matibabu na hiyo ndio dharura ambayo utaiona kazi ila kiimani ni ibada
Hospitali itakuwa wazi kwa dharura na sio full operational kama ilivyo siku nyingine zote kutoa fursa kwa wafanyakazi wote kupata pumziko kama ilivyo msingi wa sabato ya kweli na ya Bwana
 
Wadau hamjamboni nyote?


Haya siyo maneno yangu huu ni utafiti usiotia shaka hata kidog

Hata wenyewe Wasabato wameanza kulitanbua hilo na wachache miongoni mwao wameanza kuwaeleza wenzao ukweli huo mchungu


Ndugu zetu Waadvetista Wasabato kiuhalisia wanaabudu siku ya Sabato kuliko kumuabudu Mungu wao.

Wana hofu na siku kuliko hofu ya Mungu
Wana unyenyekevu na siku kuliko Mungu wao
Wanasifu siku badala ya kumsifu Mungu wao
Wanafundisha utakatifu wa siku badala ya utukufu wa Mungu

Kwao dhambi ni kutoabudu siku ya Sabato lakini kuvunja amri nyingine za Mungu siyo tatizo kubwa linalopewa kipaumbele

Wameshauriwa waache tabia hiyo na wajikite zaidi kumuabudu Yehova.


Niwatakie jumapili njema
 
Moja ya Amri za Mungu katika kitabu cha kutoka 20 ni kuikumbuka siku ya Sabato na kuitakasa.

Na hakuna ubishi kuwa siku ya saba ndiyo siku ya Sabato. Pia hakuna ubishi kuwa siku ya saba ya juma ni jumamosi. Labda kwa waswahili tu ambao wengi ni wavivu wa kusoma na kufikiri.

Hata hivyo ninasikitika kwa viongozi wa dini kujuzima data na kuendelea kuhukumu watu kwa vitu vinavyoweza kufafanuliwa vikaeleweka lakini wao wamechagua kuwa mafarisayo.

Nitawafanya mjiulize maswali kisha myajibu ama mbaki kuwa hivyo mlivyo kama vikwazo vya roho zinazotamani kupata majibu sahihi.

1. Kanisa la SDA( wasabato) mnamiliki hospitali.Je hamfanyi kazi siku ya Sabato?

2. Je mnakubali ili hospitali ifanye kazi vizuri lazima kuwe na umeme?( Tanesco wawe kazini)
Kwamba wagonjwa wengine watakuja kwa usafiri wa umma ( kwamba boda boda,tax na daladala wawe kazini?)

3. Je makanisa,ofisi zenu na majengo yenu yana walinzi wanafanya kazi siku saba kwa wiki ikiwepo na siku ya Sabato?

4. Je mtu kuna sehemu yoyote kwenye biblia inaonesha utaratibu wa ibada inayofanyika siku hizi kwamba usipoifaya hiyo ndio unaonekana hujashika Sabato?
Iwapo mtu ataishi maisha ya utakatifu,bila kufuata mipangilio yenu ya ibada bado ni mvunja Sabato au mvunja kanuni za kanisa la kisabato?

5. Mnazungumziaje kauli ya "msiisumbukie kesho" aliyosema Yesu mwenyewe,pia katika kitabu cha Waebrania kinapozungumzia Sabato, kinasema wazi Mungu alitoa siku nyingine.Hiyo siku nyingine akailezea ni ipi.

Alinukuu Daudi akiisema hiyo siku nyingi kuwa ni "Leo"
Mwanadamu amepewa siku moja tu iitwayo " Leo" .Kwamba kila iitwapo leo binadamu anapaswa kuwa mtakatifu kwa kuisikia sauti ya Bwana.Je mtu aishiye "Leo" ..kwa kumtukuza Mungu,anawezaje kuvunja Sabato ya siku ya Saba?

Mwisho niwatakie Sabato njema na kila mmoja kuitafakari kila leo Mungu anayompatia
UKITAKA kuitunza Sabato vizuri sana, priority yako inatakiwa kuwa NI Mungu KWANZA KABLA YA Sabato, kwa sababu ikitokea KWA bahati mbaya Sabato ikatangulia KWANZA HALAFU MUNGU NDIYO akafuata, hapo tayari MTU ANAKUWA ANAFANYA IBADA YA sanamu KWA kuitunza siku kuliko Mungu
 
Dear members , hope all is well with you

These are not just my words, but is a fact based on thorough study

Even the members of the respective church themselves have begun to recognize this and a few of them have begun to explain this painful truth to their colleagues


Our Sabbatical Adventist brothers are actually worshiping the Sabbath day rather than worshiping their God.

They fear the day more than the fear of God
They are more humble than their God
They praise the day instead of praising their God
They teach the holiness of the day instead of the glory of God

For them, sin is not worshiping on the Sabbath day, but breaking other commandments of God is never a priority to them

The same have been advised to stop that behavior and focus more on worshiping Jehovah instead of the day without success.

I wish you a good Sunday
 
Dear members , hope all is well with you

These are not just my words, but is a fact based on thorough study

Even the members of the respective church themselves have begun to recognize this and a few of them have begun to explain this painful truth to their colleagues


Our Sabbatical Adventist brothers are actually worshiping the Sabbath day rather than worshiping their God.

They fear the day more than the fear of God
They are more humble than their God
They praise the day instead of praising their God
They teach the holiness of the day instead of the glory of God

For them, sin is not worshiping on the Sabbath day, but breaking other commandments of God is never a priority to them

The same have been advised to stop that behavior and focus more on worshiping Jehovah instead of the day without success.

I wish you a good Sunday
What is the difference with the catholics who are worshipping Idols of Mary in open day light every day....
 
Most of us worship our religions and not God, religious traditions have become so powerful than God hence we keep distancing ourselves from Him.

Wokovu ni njia ya Mungu kumtafuta mwadamu kupitia Yesu Kristo.
 
Hiyo mbona ni wote tu. Watu wa dini zote wanaabudu dini zao si kingine.
 
Dini zimetufanya tuone usafi ni kushika siku za ibada iwe jumapili, ijumaa au jumamosi, aina ya vyakula, kufunga kwaresima/ramadhani, na taratibu nyingine za dini.

Ila dhambi nyingine ni sawa tu kutenda tena bila hofu. Tumemfanya Mungu kama mwanadamu.
 
Back
Top Bottom