Viongozi wa kisabato wa sasa ninyi ni kikwazo kwa watu kushika Sabato ya Bwana

Viongozi wa kisabato wa sasa ninyi ni kikwazo kwa watu kushika Sabato ya Bwana

Most of us worship our religions and not God, religious traditions have become so powerful than God hence we keep distancing ourselves from Him.

Wokovu ni njia ya Mungu kumtafuta mwadamu kupitia Yesu Kristo.
To find the truth first define the following terms:

What is worshiping?
What is believing?
What is respect?

When you get those concept correctly thats when you will understand whether people worshipi their religion or just believe in their religion.
 
Baada ya kifo cha Yesu sheria nyingi za Musa zilifutwa yakiwemo hayo masharti makali kuhusu sabato;

Wakolosai 2:16 "Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;"
 
To find the truth first define the following terms:

What is worshiping?
What is believing?
What is respect?

When you get those concept correctly thats when you will understand whether people worshipi their religion or just believe in their religion.
Have faith on God, and worship Him alone.
The focus has been religion which is man a creation, that's why religion has never been helping a man rather than making him proud of his sinful life while hiding on religious traditions.
 
Jibu lake ni simple tu, Je ikiwa ng'ombe wako atatumbukia kisimani utamuacha kumtoa kisa ni siku ya sabato ? Sidhani, basi ni halali kutenda mema siku ya sabato.

Kitu cha ziada, dunia imebadilika kiasi kwamba watu wametofautisha vingi na vyote vinachukuliwa kama kazi
Ilhali kiuhalisia na kitafsiri ya kiimani ni kama ibada, kitu kama kutoa msaada, kutibu mgonjwa, kuuguza n.k

Kuiheshimu Sabato kunaanza na kuweka umuhimu wa kutofanya kazi na kuitumia kwa ibada na pumziko

Mfano. Nauza Duka la vifaa vya ujenzi or stationery, electronics hivi vitu nikifunga siku ya sabato kuna kosa gani?? Sababu ni kazi kama kazi nyingine na hakuna udharura wa hiko

Kuhusu hospitali hiyo ni dharura na ni muhimu kuwepo wakati wote,
Je kuna mtu ataenda hospitali ikiwa si mgonjwa?
je ushawahi kwenda hospitali muda wa usiku??

Je ulikuta watu 100?? Unakuta mtu wa zamu (nesi/daktari) lakini utapata matibabu na hiyo ndio dharura ambayo utaiona kazi ila kiimani ni ibada
Hospitali itakuwa wazi kwa dharura na sio full operational kama ilivyo siku nyingine zote kutoa fursa kwa wafanyakazi wote kupata pumziko kama ilivyo msingi wa sabato ya kweli na ya Bwana
Iwapo Sabato ingeelezwa kama unavyoieleza,wazee wakaacha kuhukumu watu hovyo,wengi wangeona sio mzigo.
Kumbuka hizo hukumu ni kama laana.Watu hawapendi kusikiliza laana wakilaaniwa kila siku.Maana wanajua hizo laana zinashika kwa vile wanamwogopa Mungu.
Hivyo wengi wanachagua kutosikiliza sauti hizo badala yake wanamtafuta Mungu kwa njia zao
 
Thibitisha kwamba hayupo?
Akili za binadamu kumtafakari Mungu ,ni sawa na mtoto mchanga anayerushwa juu na mama yake kisha anamdaka huku mtoto akiwa na furaha na kicheko.
Sasa ukipata nafasi ya kumuuliza mtoto yule athibitishe kwamba mama yake hatamwacha aanguke,hatakuwa na cha kukwambia zaidi ya kuwa ana imani na yule ni mama yake basi.
Kuna sisi tunajua kila hatua yetu Mungu anaiongoza.Kwamba bila Mungu hatutoboi
 
Hakuna sabato Kwa sàsa kulingana na maandiko sabato haikurusiwa kutembea Umbali unaozidi mtupo wa jiwe na Mtu hakuruhusiwa kufanya kazi yoyote Ile kutuia Ndani Kupika na kazi za nyumbani kuna Mtu alikuwa akiokota kuni akauwawa ...Kila baada ya miaka wa 7 haikutakiwa ufanye kazi yoyote mwaka mzima ni mwaka wa sabato
 
Back
Top Bottom