Viongozi wa Kitaifa CHADEMA wamwagia sifa Naibu Waziri wa Afya, Dr. Mollel wakati wa mazishi ya Derick Magoma

Viongozi wa Kitaifa CHADEMA wamwagia sifa Naibu Waziri wa Afya, Dr. Mollel wakati wa mazishi ya Derick Magoma

Mliogwa

Member
Joined
Jun 6, 2024
Posts
37
Reaction score
37
Februari 11, 2025 katika ibada ya maziko ya Derick Magoma, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Manyara, viongozi wakuu wa Chadema Taifa walimshukuru Naibu Waziri wa Afya, Dr. Mollel, kwa juhudi zake za kusaidia katika kipindi cha matibu ya Derick Magoma.

Katika ibaada hiyo Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu aliwaongoza waombolezaji katika safari ya Mwisho ya Magoma hapa Dunia.

Akizungumza Msibani hapo Naibu Katibu Mkuu Bara wa CHADEMA ndugu Amani Golugwa, alifungua salamu zake kwa kusema: "Kiukweli, tunakushukuru sana Dr. Mollel, wewe pamoja na Wizara yako bila kumsahau Dr Janabii Dr Mollel Umekuwa mtu mwema sana kwa CHADEMA, ukionyesha ubinadamu mkubwa katika jitihada zako za kumsaidia Magoma. Mimi, pamoja na Lema na Mh Mbowe, tumekusumbua sana katika kuokoa maisha ya Magoma. Tulikuwa tunakutafuta hadi usiku, lakini ulitusaidia kwa njia nyingi."
WhatsApp Image 2025-02-12 at 12.31.40_f3536107.jpg

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, aliongeza: "Tunakushukuru sana Dr. Mollel. Chadema haina deni na wewe umetuheshimisha katika kipindi hiki kigumu." Hili lilionyesha mshikamano wa kweli kati ya viongozi na jinsi walivyoshirikiana kusaidia Magoma.

Mh. Lema, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, aliongeza: "Dr. Mollel, tunakushukuru sana. Hata wakati tunamsafirisha Magoma nje ya nchi, ulikuwa msaada mkubwa." Huu ulikuwa ni uthibitisho wa juhudi za pamoja za viongozi.

WhatsApp Image 2025-02-12 at 11.53.13_a5e787d1.jpg

WhatsApp Image 2025-02-12 at 11.53.12_c75b4d7e.jpg

Katika salamu zake, Dr. Mollel alisisitiza umuhimu wa afya na ustawi wa jamii. "Niwapongeza sana viongozi wote wa CHADEMA, wakiongozwa na kaka yangu Golugwa na Mh. Mbowe, kwa juhudi zenu za kuyapigania maisha ya Magoma. Magoma ameacha watoto, naomba niwalipie ada Tsh milioni nne. Na kama hutojali, shemiji yangu, niruhusu niwasomeshe watoto wa Magoma." Wananchi walijibu kwa shangwe, wakipiga makofi, kitendo kilichopelekea kukubaliwa kwa ombi hilo.

Dr. Mollel alikumbusha wananchi kupima afya zao mara kwa mara, akisema Rais Dr. Samia ameleta vifaa vya kisasa katika hospitali zetu. Alisisitiza umuhimu wa kuzingatia masuala ya lishe na mazoezi, akieleza: "Dr. Samia amekuwa jemedari wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya. Amewekeza katika vifaa vya kisasa nchini. Ebu jiulize, leo tuna vifaa ambavyo, ikiwa mtu ana uvimbe kwenye sakafu ya ubongo, tulikuwa tunafunuwa fuvu lote. Ila leo, Dr. Samia ameleta vifaa ambavyo, ndugu yangu Lema, ukiwa na shida hiyo, tunaweka kifaa kwenye pua hapo na tunaondoa uvimbe huo."

Aliongeza: "Pia, leo kaka yangu Lissu, ukiwa na shida ya moyo, hatufanyi operesheni zile za zamani. Tunakutoboa sentimita mbili tu na kutibu tatizo la moyo,huna haja ya kwenda Canada tena, hizi huduma zinafanyika hapa nchini. Na Dr. Samia ameiweka nchini na watu kutoka nje ya nchi yetu wanakuja kwa sababu tuna vifaa vya kisasa na bei ni nafuu mno. Hii ni kazi ya jemedari wetu, Rais wetu Dr. Samia na hapo Dr Samia amewekeza Tsh 6.5Trilioni kwenye vifaa nchini."

Katika hatua nyingine, Dr. Mollel alisema kuwa watashirikina Kwa pamoja na viongozi wa CCM na Serikali kuhakisha wanakamilisha kiasi cha Shilingi Million Kumi na tano ili kuendeleza ujenzi wa msikiti wa Magugu Matufe. Shehe wa eneo hilo, ndugu Kesi, alitoa shukrani akisema: "Tunakushuru sana, tupelekee salamu zetu serikalini, na tunawaombea."

Maziko ya Derick Magoma yamekuwa ni tukio la kuwakumbusha wengi kuhusu umuhimu wa umoja na msaada katika kipindi cha majaribu. Dr. Magoma amezikwa katika kijiji chake cha Magugu akiwa na umri wa miaka 40, na ameacha mke na watoto watatu. Hali hiyo ilionyesha kuwa, licha ya huzuni, kuna matumaini ya kuendelea kusaidiana na kujenga jamii imara.
 
Februari 11, 2025 katika ibada ya maziko ya Derick Magoma, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Manyara, viongozi wakuu wa Chadema Taifa walimshukuru Naibu Waziri wa Afya, Dr. Mollel, kwa juhudi zake za kusaidia katika kipindi cha matibu ya Derick Magoma.

Katika ibaada hiyo Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu aliwaongoza waombolezaji katika safari ya Mwisho ya Magoma hapa Dunia.

Akizungumza Msibani hapo Naibu Katibu Mkuu Bara wa CHADEMA ndugu Amani Golugwa, alifungua salamu zake kwa kusema: "Kiukweli, tunakushukuru sana Dr. Mollel, wewe pamoja na Wizara yako bila kumsahau Dr Janabii Dr Mollel Umekuwa mtu mwema sana kwa CHADEMA, ukionyesha ubinadamu mkubwa katika jitihada zako za kumsaidia Magoma. Mimi, pamoja na Lema na Mh Mbowe, tumekusumbua sana katika kuokoa maisha ya Magoma. Tulikuwa tunakutafuta hadi usiku, lakini ulitusaidia kwa njia nyingi."
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, aliongeza: "Tunakushukuru sana Dr. Mollel. Chadema haina deni na wewe umetuheshimisha katika kipindi hiki kigumu." Hili lilionyesha mshikamano wa kweli kati ya viongozi na jinsi walivyoshirikiana kusaidia Magoma.

Mh. Lema, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, aliongeza: "Dr. Mollel, tunakushukuru sana. Hata wakati tunamsafirisha Magoma nje ya nchi, ulikuwa msaada mkubwa." Huu ulikuwa ni uthibitisho wa juhudi za pamoja za viongozi.

Katika salamu zake, Dr. Mollel alisisitiza umuhimu wa afya na ustawi wa jamii. "Niwapongeza sana viongozi wote wa CHADEMA, wakiongozwa na kaka yangu Golugwa na Mh. Mbowe, kwa juhudi zenu za kuyapigania maisha ya Magoma. Magoma ameacha watoto, naomba niwalipie ada Tsh milioni nne. Na kama hutojali, shemiji yangu, niruhusu niwasomeshe watoto wa Magoma." Wananchi walijibu kwa shangwe, wakipiga makofi, kitendo kilichopelekea kukubaliwa kwa ombi hilo.

Dr. Mollel alikumbusha wananchi kupima afya zao mara kwa mara, akisema Rais Dr. Samia ameleta vifaa vya kisasa katika hospitali zetu. Alisisitiza umuhimu wa kuzingatia masuala ya lishe na mazoezi, akieleza: "Dr. Samia amekuwa jemedari wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya. Amewekeza katika vifaa vya kisasa nchini. Ebu jiulize, leo tuna vifaa ambavyo, ikiwa mtu ana uvimbe kwenye sakafu ya ubongo, tulikuwa tunafunuwa fuvu lote. Ila leo, Dr. Samia ameleta vifaa ambavyo, ndugu yangu Lema, ukiwa na shida hiyo, tunaweka kifaa kwenye pua hapo na tunaondoa uvimbe huo."

Aliongeza: "Pia, leo kaka yangu Lissu, ukiwa na shida ya moyo, hatufanyi operesheni zile za zamani. Tunakutoboa sentimita mbili tu na kutibu tatizo la moyo,huna haja ya kwenda Canada tena, hizi huduma zinafanyika hapa nchini. Na Dr. Samia ameiweka nchini na watu kutoka nje ya nchi yetu wanakuja kwa sababu tuna vifaa vya kisasa na bei ni nafuu mno. Hii ni kazi ya jemedari wetu, Rais wetu Dr. Samia na hapo Dr Samia amewekeza Tsh 6.5Trilioni kwenye vifaa nchini."

Katika hatua nyingine, Dr. Mollel alisema kuwa watashirikina Kwa pamoja na viongozi wa CCM na Serikali kuhakisha wanakamilisha kiasi cha Shilingi Million Kumi na tano ili kuendeleza ujenzi wa msikiti wa Magugu Matufe. Shehe wa eneo hilo, ndugu Kesi, alitoa shukrani akisema: "Tunakushuru sana, tupelekee salamu zetu serikalini, na tunawaombea."

Maziko ya Derick Magoma yamekuwa ni tukio la kuwakumbusha wengi kuhusu umuhimu wa umoja na msaada katika kipindi cha majaribu. Dr. Magoma amezikwa katika kijiji chake cha Magugu akiwa na umri wa miaka 40, na ameacha mke na watoto watatu. Hali hiyo ilionyesha kuwa, licha ya huzuni, kuna matumaini ya kuendelea kusaidiana na kujenga jamii imara.
Safi sana
Mungu ambariki, hajaangalia vyama
 
Februari 11, 2025 katika ibada ya maziko ya Derick Magoma, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Manyara, viongozi wakuu wa Chadema Taifa walimshukuru Naibu Waziri wa Afya, Dr. Mollel, kwa juhudi zake za kusaidia katika kipindi cha matibu ya Derick Magoma.

Katika ibaada hiyo Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu aliwaongoza waombolezaji katika safari ya Mwisho ya Magoma hapa Dunia.

Akizungumza Msibani hapo Naibu Katibu Mkuu Bara wa CHADEMA ndugu Amani Golugwa, alifungua salamu zake kwa kusema: "Kiukweli, tunakushukuru sana Dr. Mollel, wewe pamoja na Wizara yako bila kumsahau Dr Janabii Dr Mollel Umekuwa mtu mwema sana kwa CHADEMA, ukionyesha ubinadamu mkubwa katika jitihada zako za kumsaidia Magoma. Mimi, pamoja na Lema na Mh Mbowe, tumekusumbua sana katika kuokoa maisha ya Magoma. Tulikuwa tunakutafuta hadi usiku, lakini ulitusaidia kwa njia nyingi."
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, aliongeza: "Tunakushukuru sana Dr. Mollel. Chadema haina deni na wewe umetuheshimisha katika kipindi hiki kigumu." Hili lilionyesha mshikamano wa kweli kati ya viongozi na jinsi walivyoshirikiana kusaidia Magoma.

Mh. Lema, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, aliongeza: "Dr. Mollel, tunakushukuru sana. Hata wakati tunamsafirisha Magoma nje ya nchi, ulikuwa msaada mkubwa." Huu ulikuwa ni uthibitisho wa juhudi za pamoja za viongozi.

Katika salamu zake, Dr. Mollel alisisitiza umuhimu wa afya na ustawi wa jamii. "Niwapongeza sana viongozi wote wa CHADEMA, wakiongozwa na kaka yangu Golugwa na Mh. Mbowe, kwa juhudi zenu za kuyapigania maisha ya Magoma. Magoma ameacha watoto, naomba niwalipie ada Tsh milioni nne. Na kama hutojali, shemiji yangu, niruhusu niwasomeshe watoto wa Magoma." Wananchi walijibu kwa shangwe, wakipiga makofi, kitendo kilichopelekea kukubaliwa kwa ombi hilo.

Dr. Mollel alikumbusha wananchi kupima afya zao mara kwa mara, akisema Rais Dr. Samia ameleta vifaa vya kisasa katika hospitali zetu. Alisisitiza umuhimu wa kuzingatia masuala ya lishe na mazoezi, akieleza: "Dr. Samia amekuwa jemedari wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya. Amewekeza katika vifaa vya kisasa nchini. Ebu jiulize, leo tuna vifaa ambavyo, ikiwa mtu ana uvimbe kwenye sakafu ya ubongo, tulikuwa tunafunuwa fuvu lote. Ila leo, Dr. Samia ameleta vifaa ambavyo, ndugu yangu Lema, ukiwa na shida hiyo, tunaweka kifaa kwenye pua hapo na tunaondoa uvimbe huo."

Aliongeza: "Pia, leo kaka yangu Lissu, ukiwa na shida ya moyo, hatufanyi operesheni zile za zamani. Tunakutoboa sentimita mbili tu na kutibu tatizo la moyo,huna haja ya kwenda Canada tena, hizi huduma zinafanyika hapa nchini. Na Dr. Samia ameiweka nchini na watu kutoka nje ya nchi yetu wanakuja kwa sababu tuna vifaa vya kisasa na bei ni nafuu mno. Hii ni kazi ya jemedari wetu, Rais wetu Dr. Samia na hapo Dr Samia amewekeza Tsh 6.5Trilioni kwenye vifaa nchini."

Katika hatua nyingine, Dr. Mollel alisema kuwa watashirikina Kwa pamoja na viongozi wa CCM na Serikali kuhakisha wanakamilisha kiasi cha Shilingi Million Kumi na tano ili kuendeleza ujenzi wa msikiti wa Magugu Matufe. Shehe wa eneo hilo, ndugu Kesi, alitoa shukrani akisema: "Tunakushuru sana, tupelekee salamu zetu serikalini, na tunawaombea."

Maziko ya Derick Magoma yamekuwa ni tukio la kuwakumbusha wengi kuhusu umuhimu wa umoja na msaada katika kipindi cha majaribu. Dr. Magoma amezikwa katika kijiji chake cha Magugu akiwa na umri wa miaka 40, na ameacha mke na watoto watatu. Hali hiyo ilionyesha kuwa, licha ya huzuni, kuna matumaini ya kuendelea kusaidiana na kujenga jamii imara.

Watanzania sio watu wabaya, uvyama na uchawa ndo changamoto
 
Februari 11, 2025 katika ibada ya maziko ya Derick Magoma, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Manyara, viongozi wakuu wa Chadema Taifa walimshukuru Naibu Waziri wa Afya, Dr. Mollel, kwa juhudi zake za kusaidia katika kipindi cha matibu ya Derick Magoma.

Katika ibaada hiyo Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu aliwaongoza waombolezaji katika safari ya Mwisho ya Magoma hapa Dunia.

Akizungumza Msibani hapo Naibu Katibu Mkuu Bara wa CHADEMA ndugu Amani Golugwa, alifungua salamu zake kwa kusema: "Kiukweli, tunakushukuru sana Dr. Mollel, wewe pamoja na Wizara yako bila kumsahau Dr Janabii Dr Mollel Umekuwa mtu mwema sana kwa CHADEMA, ukionyesha ubinadamu mkubwa katika jitihada zako za kumsaidia Magoma. Mimi, pamoja na Lema na Mh Mbowe, tumekusumbua sana katika kuokoa maisha ya Magoma. Tulikuwa tunakutafuta hadi usiku, lakini ulitusaidia kwa njia nyingi."
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, aliongeza: "Tunakushukuru sana Dr. Mollel. Chadema haina deni na wewe umetuheshimisha katika kipindi hiki kigumu." Hili lilionyesha mshikamano wa kweli kati ya viongozi na jinsi walivyoshirikiana kusaidia Magoma.

Mh. Lema, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, aliongeza: "Dr. Mollel, tunakushukuru sana. Hata wakati tunamsafirisha Magoma nje ya nchi, ulikuwa msaada mkubwa." Huu ulikuwa ni uthibitisho wa juhudi za pamoja za viongozi.

Katika salamu zake, Dr. Mollel alisisitiza umuhimu wa afya na ustawi wa jamii. "Niwapongeza sana viongozi wote wa CHADEMA, wakiongozwa na kaka yangu Golugwa na Mh. Mbowe, kwa juhudi zenu za kuyapigania maisha ya Magoma. Magoma ameacha watoto, naomba niwalipie ada Tsh milioni nne. Na kama hutojali, shemiji yangu, niruhusu niwasomeshe watoto wa Magoma." Wananchi walijibu kwa shangwe, wakipiga makofi, kitendo kilichopelekea kukubaliwa kwa ombi hilo.

Dr. Mollel alikumbusha wananchi kupima afya zao mara kwa mara, akisema Rais Dr. Samia ameleta vifaa vya kisasa katika hospitali zetu. Alisisitiza umuhimu wa kuzingatia masuala ya lishe na mazoezi, akieleza: "Dr. Samia amekuwa jemedari wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya. Amewekeza katika vifaa vya kisasa nchini. Ebu jiulize, leo tuna vifaa ambavyo, ikiwa mtu ana uvimbe kwenye sakafu ya ubongo, tulikuwa tunafunuwa fuvu lote. Ila leo, Dr. Samia ameleta vifaa ambavyo, ndugu yangu Lema, ukiwa na shida hiyo, tunaweka kifaa kwenye pua hapo na tunaondoa uvimbe huo."

Aliongeza: "Pia, leo kaka yangu Lissu, ukiwa na shida ya moyo, hatufanyi operesheni zile za zamani. Tunakutoboa sentimita mbili tu na kutibu tatizo la moyo,huna haja ya kwenda Canada tena, hizi huduma zinafanyika hapa nchini. Na Dr. Samia ameiweka nchini na watu kutoka nje ya nchi yetu wanakuja kwa sababu tuna vifaa vya kisasa na bei ni nafuu mno. Hii ni kazi ya jemedari wetu, Rais wetu Dr. Samia na hapo Dr Samia amewekeza Tsh 6.5Trilioni kwenye vifaa nchini."

Katika hatua nyingine, Dr. Mollel alisema kuwa watashirikina Kwa pamoja na viongozi wa CCM na Serikali kuhakisha wanakamilisha kiasi cha Shilingi Million Kumi na tano ili kuendeleza ujenzi wa msikiti wa Magugu Matufe. Shehe wa eneo hilo, ndugu Kesi, alitoa shukrani akisema: "Tunakushuru sana, tupelekee salamu zetu serikalini, na tunawaombea."

Maziko ya Derick Magoma yamekuwa ni tukio la kuwakumbusha wengi kuhusu umuhimu wa umoja na msaada katika kipindi cha majaribu. Dr. Magoma amezikwa katika kijiji chake cha Magugu akiwa na umri wa miaka 40, na ameacha mke na watoto watatu. Hali hiyo ilionyesha kuwa, licha ya huzuni, kuna matumaini ya kuendelea kusaidiana na kujenga jamii imara.
Lissu na genge lake la wanafiki. Eti hatutaki maridhiano! Nyooo!!!
 
Maridhiano na msiba vina uhusiano gani?
Nenda huko! Kwani Msaada aliokuwa anautoa Dk. Molell alikuwa anautoa kama yeye au kama Serikali? Unafikiri kibali Cha kwenda kutibiwa nje alikitoa mfukoni mwake? Hawataki maridhiano lakini wanapenda misaada kutoka Serikali hiyo hiyo wanayoikataa. Wapumbavu wakubwa hao Lissu na genge lake la wanafiki!

Leta swali jengine!
 
Nenda huko! Kwani Msaada aliokuwa anautoa Dk. Molell alikuwa anautoa kama yeye au kama Serikali? Unafikiri kibali Cha kwenda kutibiwa nje alikitoa mfukoni mwake? Hawataki maridhiano lakini wanapenda misaada kutoka Serikali hiyo hiyo wanayoikataa. Wapumbavu wakubwa hao Lissu na genge lake la wanafiki!

Leta swali jengine!
Utofautishe vyama na serikali. Dr.mollel yuko pale kwa ajili ya kutibu watanzania, si wanachama chama fulani.

Kale lunch kwanza, huna logic
 
Kuwatumikia watanzania lazima awe hospitali?
Unaona aina ya maswali yako. Tuliza akili
Mbowe aliishawaambia hao wanafiki Lissu na genge lake kwamba , huwezi kufanya siasa kwa kujitenga na Serikali. Ni wajinga tu kama akina Lissu ndio wanaweza kufikiri hivyo!
 
Back
Top Bottom