Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Mimi ni ME.Kwa hiyo wee jamaa hiyo nyoo umemaanisha nini
Kama ni KE sawa tu lakini kama ni ME umeangusha kambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni ME.Kwa hiyo wee jamaa hiyo nyoo umemaanisha nini
Kama ni KE sawa tu lakini kama ni ME umeangusha kambi
Neno 'nyoo' linatumiwa na Dada zetuMimi ni ME.
Kawaida ya watu wa Chadema chini ya Lissu na genge lake kuathiriwa na mfumo dume halafu wanaoamini wataongoza nchi hii! Nyooo!!Neno 'nyoo' linatumiwa na Dada zetu
Usilitumie tena maana halikufai mwanaume
LISSU NI MHUNI TU KAMA WALIVYO WAHUNI WENGINENenda huko! Kwani Msaada aliokuwa anautoa Dk. Molell alikuwa anautoa kama yeye au kama Serikali? Unafikiri kibali Cha kwenda kutibiwa nje alikitoa mfukoni mwake? Hawataki maridhiano lakini wanapenda misaada kutoka Serikali hiyo hiyo wanayoikataa. Wapumbavu wakubwa hao Lissu na genge lake la wanafiki!
Leta swali jengine!
Yaani ni mhuni kweri kweri na Chadema wenye akili wanajuta sana kama TLS walivyojuta kumpa Urais!LISSU NI MHUNI TU KAMA WALIVYO WAHUNI WENGINE
Hawezi kutumbuliwa maana katika hotuba yake Dr. Samia imetawala sanaOooh soon atatumbuliwa