mhakikimali
Member
- Jul 5, 2015
- 31
- 5
Haiingii akilini kuona viongozi Wa klabu kama simba kufanya udanganyifu Wa mikataba Na kushindwa kuitekeleza kisha kukimbilia kuzilaumu mamlaka kuwa zinawahujumu.
Wakati dunia nzima vilabu vinatafuta wachezaji wenye umri mdogo viongozi Wa klabu ya simba inampoteza mchezaji Ramadhani singano kwa ubabaishaji Wa kitoto unaofanywa Na hao viongozi.
Hongera Azam kwa kumsajili mchezaji huyo na ninatoa wito kwa wachezaji vijana ndani ya Simba kuamka Na kutafuta vilabu vingine ili mpate maslahi Mpira ni Pesa sio longolongo za viongozi Wa simba
Wakati dunia nzima vilabu vinatafuta wachezaji wenye umri mdogo viongozi Wa klabu ya simba inampoteza mchezaji Ramadhani singano kwa ubabaishaji Wa kitoto unaofanywa Na hao viongozi.
Hongera Azam kwa kumsajili mchezaji huyo na ninatoa wito kwa wachezaji vijana ndani ya Simba kuamka Na kutafuta vilabu vingine ili mpate maslahi Mpira ni Pesa sio longolongo za viongozi Wa simba