Viongozi wa nchi kutumia Twitter kutoa matamko wakati raia hatuna access

Viongozi wa nchi kutumia Twitter kutoa matamko wakati raia hatuna access

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Inakuwaje Rais wa Nchi na Msemaji Mkuu wa Serikali, na Viongozi mbalimbali kutumia kurasa zao za TWITTER kufikisha ujumbe kwa wananchi wakati wanajua fika kuwa wameifunga na hatuna ACCESS na Twitter hadi tutumie VPN na pia walitangaza kuwa ni jinai kutumia VPN?
 
Huo ujumbe ni kwa ajili ya mataifa ya nje na hasa yale makubwa.

Akitaka kuwasiliana na wananchi wa kawaida atatokea moja kwa moja kwa wananchi au TBC.
Mbona kama ni za hapahapa nchini?
 
Inakuwaje Rais wa Nchi na Msemaji Mkuu wa Serikali, na Viongozi mbalimbali kutumia kurasa zao za TWITTER kufikisha ujumbe kwa wananchi wakati wanajua fika kuwa wameifunga na hatuna ACCESS na Twitter hadi tutumie VPN na pia walitangaza kuwa ni jinai kutumia VPN?
Tuna tatizo kama na Rais na yeye pia anatumia VPN kama sisi.
 
Inakuwaje Rais wa Nchi na Msemaji Mkuu wa Serikali, na Viongozi mbalimbali kutumia kurasa zao za TWITTER kufikisha ujumbe kwa wananchi wakati wanajua fika kuwa wameifunga na hatuna ACCESS na Twitter hadi tutumie VPN na pia walitangaza kuwa ni jinai kutumia VPN?
Umewaza mbali sana l ndugu! Hili ni swali fikirishi na linahitaji majjbu kabisa!
 
Mimi wamenifungia twitter ila nilitumia sim ya wife naongea poa tu. Wala haina shida nikahisi huenda labda nimemfollow kigogo. Nikatengeneza account nyingine ila kila nikijaribu kwenye sim yangu. Hooolah. Hamna kitu. Sijui tatzo nini
 
Umewaza mbali sana l ndugu! Hili ni swali fikirishi na linahitaji majjbu kabisa!
Nimeona TWITTER ya Mh. SAMIA NIKASHANGAA SA ANATAKA WANANCHI WASOMAJE UJUMBE WAKE??
 
  • Thanks
Reactions: Mu7
Nimeona TWITTER ya Mh. SAMIA NIKASHANGAA SA ANATAKA WANANCHI WASOMAJE UJUMBE WAKE??
Labda Mama hajui kama bado tumefungiwa! Tupate mtu amtonye, uchaguzi ulishaisha zamani, tulishakubali matokeo japo kinyonge lakini mawasiliano bado tu yamebanwa!!!
 
Back
Top Bottom