Viongozi wa NHIF Chuo Kikuu cha Dodoma wamekuwa wabishi, wamekosa huruma na utu

Viongozi wa NHIF Chuo Kikuu cha Dodoma wamekuwa wabishi, wamekosa huruma na utu

Afrikasana

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2021
Posts
320
Reaction score
288
Viongozi wa NHIF chuo kikuu cha Dodoma wamekuwa wabishi, wamekosa huruma na utu hivyo kusababisha mateso makubwa kwa baadhi ya wanachuo Kwakiutl was I lists michango ya bima ya afya sehemu husika.

Tangu mwaka jana baadhi ya wanachuo hawajapata vitambulisho vyao vya bima ya afya. Kumekua na panda shuka na nenda rudi kumbe hawakuwasilisha michango ya wanachuo NHIF makao makuu.

Uongozi wa NHIF Dodoma wamesema chuo hakijawasilisha michango ya wanachuo kwao.

Ingawa wameshauri kwamba michango ya mwaka jana iwasilishwe kama ya mwaka huu kwakua mwàka jana fedha hizo hazijatumika lakini NHIF UDOM wamekataa na wanadai haiwezekani. Hata hivyo baada ya kufuatilia tena leo NHIF UDOM bado wamegoma kuwasilisha michango hiyo.

Hapa unaweza ukajiuliza je fedha hizo zipo kweli au zishaliwa?

Mamlaka husika saidieni wanachuo wananyanyasika ikiwa hela zimeshatolewa tangu mwaka jana

Mambo haya yanatokea sehemu ambazo kuna wizi,uzembe,rushwa au kutofanyika ukaguzi wa mara kwa mara

UDOM badilikeni acheni kufanya kazi kwa mazoea
 
miaka ya sasa no kunji no kunjii ... ni bora kuliko enzi zile za mifujo fujoo na kuandamanaaa hadi vyuo vinafungwa kwa muda

huenda fomu zilijazwa kimakosa (taarifa hazikukamilika) ama fedha ilitumika kwa matumizi mengine wakitegemea kuzirejeshaaa (kuna kipindi walikuwa wakisema zinaekwa kwa account fulani na kupata faida ya haraka sanaa ndani ya muda mfupi)

anyway wahusika wajitokeze wajibu hojaaa
 
miaka ya sasa no kunji no kunjii ... ni bora kuliko enzi zile za mifujo fujoo na kuandamanaaa hadi vyuo vinafungwa kwa muda

huenda fomu zilijazwa kimakosa (taarifa hazikukamilika) ama fedha ilitumika kwa matumizi mengine wakitegemea kuzirejeshaaa (kuna kipindi walikuwa wakisema zinaekwa kwa account fulani na kupata faida ya haraka sanaa ndani ya muda mfupi)

anyway wahusika wajitokeze wajibu hojaaa
Ukifika ofisini kuwauliza wanakua wakali,wezi wakubwaaaaa
Eti bosi wao hayupo,mbona mmepokea fedha za wanachuo hata bila bos wenu kuepo. Kwani bos anatembea na kompyuta za ofisi? Acheni usanii
 
Back
Top Bottom