NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Hujaelewa,soma vizuri.Ana draw man city, simba ni nani?
Madrid anapigwa, Simba akidraw kelele zinaanza...
Huu sio ushabiki, hata Yanga hawana huu utoto.
Ok nimekuelewa...Hujaelewa,soma vizuri.
Mnaanza kutafutana mmedraw mechi Moja tu, si mlisema ubaya ubwege yanga hana chake msimu huu? Tulieni sasa kazi ndio imeanzaHuu ndio upuuzi wa viongozi wa Simba, timu ikifanya vibaya wanaefukuzwa ni kocha mkuu, kocha wa makipa na kocha wa utimamu wa mwili.
Dunia kote hakuna kocha msaidizi wa kudumu, shida ya Simba ipo kwa viongozi ambao hawazingatii weledi.
Ndugu sijawah Kuona kocha msaidizi wa kudumu......Mnaanza kutafutana mmedraw mechi Moja tu, si mlisema ubaya ubwege yanga hana chake msimu huu? Tulieni sasa kazi ndio imeanza
Hujaelewa,soma vizuri
Kabla sijakupa makosa yake taja kwanza majukumu yake.Ok nimekuelewa...
Haya, litaje kosa la Seleman Matola.
Timu yao ni bora, uongozi bora hata wakifungwa unaona kabisa ni bahati mbaya.Ana draw man city, simba ni nani?
Madrid anapigwa, Simba akidraw kelele zinaanza...
Huu sio ushabiki, hata Yanga hawana huu utoto.