Viongozi wa Simba acheni kuwadharau mashabiki wa mikoani

Viongozi wa Simba acheni kuwadharau mashabiki wa mikoani

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Nimetafakari kwa uwezo wangu na kutazama kinachoendelea kwa timu yetu ya Simba katika michezo yake mikoani na nimejiridhisha bila shaka kuwa dharau za viongozi wetu zinatugharimu.

Kila sehemu ina mila na tamaduni zake. Ni kwa kuwashirikisha na kuwathamini tu wenyeji wa eneo husika ndiko huleta mafanikio. Wanajua wapinzani wetu wanakojificha, hivyo kutoka kwao uwezekano wa kuonyeshwa mlango wa kutokea ni mkubwa.

Tuache dharau na utamaduni wa mikoani na tuongeze ushirikishaji. Mbadilike la sivyo subirini kuondolewa kwa fedheha.
 
Nilikuwa nikiona utopolo wakija kucheza huku mikoani wanachama wao wanafanya wawezalo kupata matokeo,na akija mnyama wanafanya wawezalo kuhakikisha anaangusha pointi.

Hapa wakipata support kubwa ya uongozi wa juu wa utopolo.

Kwa sasa uto wanagawa kadi kwa wingi kupitia wanachama wao walioko huku mikoani kwa sababu wao ndio wanawajua watu wao.Kadi za Simba huwezi kuzipata na haijulikani zinapatikanaje.

Uongozi lazima mje kwa watu.Hata hivyo sajilini kwanza
 
Yanga sc Ni timu ya wananchi yangu kuanzishwa kwake, ndiyo maana timu inakuwa karibu na wananchi. Sasa hiyo club ya mhindi na wananchi wapi na wapi? Mhindi anaamini nguvu ya pesa yake na siyo wananchi elewa Hilo ndugu.
 
Nilikuwa nikiona utopolo wakija kucheza huku mikoani wanachama wao wanafanya wawezalo kupata matokeo,na akija mnyama wanafanya wawezalo kuhakikisha anaangusha pointi.
Hapa wakipata support kubwa ya uongozi wa juu wa utopolo.

Kwa sasa uto wanagawa kadi kwa wingi kupitia wanachama wao walioko huku mikoani kwa sababu wao ndio wanawajua watu wao.Kadi za Simba huwezi kuzipata na haijulikani zinapatikanaje.

Uongozi lazima mje kwa watu.Hata hivyo sajilini kwanza
Hatakama wasajili vipi, Kama mahusiano ni mabovu matokeo ni hayohayo. Waboreshe mahusiano mikoani
 
Nilikuwa nikiona utopolo wakija kucheza huku mikoani wanachama wao wanafanya wawezalo kupata matokeo,na akija mnyama wanafanya wawezalo kuhakikisha anaangusha pointi.
Hapa wakipata support kubwa ya uongozi wa juu wa utopolo.

Kwa sasa uto wanagawa kadi kwa wingi kupitia wanachama wao walioko huku mikoani kwa sababu wao ndio wanawajua watu wao.Kadi za Simba huwezi kuzipata na haijulikani zinapatikanaje.

Uongozi lazima mje kwa watu.Hata hivyo sajilini kwanza
Jezi tu mateso kuzipata kadi tutapata kweli
 
Tena mmekimbilia huko sas mnakaenda away 5 sijui itakuwaje lzm mgunda aandoshwe ktk hzo away 5
 
Yanga sc Ni timu ya wananchi yangu kuanzishwa kwake, ndiyo maana timu inakuwa karibu na wananchi. Sasa hiyo club ya mhindi na wananchi wapi na wapi? Mhindi anaamini nguvu ya pesa yake na siyo wananchi elewa Hilo ndugu.
Yaani timu inamilikiwa na familia ya akina Dewji! Wahindi wenye asilk ya bombay!! Halafu wanataka kulazimisha iwe ya Wananchi kama Yanga!
 
Nilikuwa nikiona utopolo wakija kucheza huku mikoani wanachama wao wanafanya wawezalo kupata matokeo,na akija mnyama wanafanya wawezalo kuhakikisha anaangusha pointi.

Hapa wakipata support kubwa ya uongozi wa juu wa utopolo.

Kwa sasa uto wanagawa kadi kwa wingi kupitia wanachama wao walioko huku mikoani kwa sababu wao ndio wanawajua watu wao.Kadi za Simba huwezi kuzipata na haijulikani zinapatikanaje.

Uongozi lazima mje kwa watu.Hata hivyo sajilini kwanza
Naomba kwa heshima nikuunge mkono na nichangie sababu ya kwa nini Simba haifanyi unayoyataka mikoani. Sijawahi kusikia Simba ikihamasisha mashabiki wake kwenda kuisapoti viwanja vya mikoani kwa hofu kwamba kufanya hivyo ni kuwaongezea mapato wapinzani wao. Hili linafanya mashabiki wa Simba waende uwanjani wakiwa hawana organization nzuri. Yanga inao vijana kadhaa wanaofuatana na timu karibu kila mkoa. Angalia wanachokifanya wakifika uwanjani, wanawafuata mashabiki wenzao wa mkoa husika na kuanzisha hamasa ya pamoja. Wanapiga nao picha na kuwafanya sehemu ya mchezo. Lakini msikilize msemaji wa Yanga anavyohamasisha mashabiki waende uwanjani na pia wajitokeze kujisajili kupata kadi za kielektroniki za uanachama wa timu yao.
Jambo jingine ni tabia yao ya kugawa jezi. Unaweza kuona kamq ni tukio dogo, Lakini binadamu hupenda kuona anathaminiwa hata kwa kidogo. Mtu kupata jezi ya bure toka kwa mchezaji wa timu yake anayoipenda huku akionyeshwa na vyombo vya habari ni tukio kubwa katika maisha yake, tunaona hata Ulaya na Amerika kusini.
Cha mwisho ni huu utamaduni wa Yanga wa kujitoa kwa Jamii kila mkoa wanapokwenda. Hili linawafanya waonekane timu ya watu na iliyo karibu na watu.
Haya ni nadra kuyaona Simba baada ya Simba week.
 
Naomba kwa heshima nikuunge mkono na nichangie sababu ya kwa nini Simba haifanyi unayoyataka mikoani. Sijawahi kusikia Simba ikihamasisha mashabiki wake kwenda kuisapoti viwanja vya mikoani kwa hofu kwamba kufanya hivyo ni kuwaongezea mapato wapinzani wao. Hili linafanya mashabiki wa Simba waende uwanjani wakiwa hawana organization nzuri. Yanga inao vijana kadhaa wanaofuatana na timu karibu kila mkoa. Angalia wanachokifanya wakifika uwanjani, wanawafuata mashabiki wenzao wa mkoa husika na kuanzisha hamasa ya pamoja. Wanapiga nao picha na kuwafanya sehemu ya mchezo. Lakini msikilize msemaji wa Yanga anavyohamasisha mashabiki waende uwanjani na pia wajitokeze kujisajili kupata kadi za kielektroniki za uanachama wa timu yao.
Jambo jingine ni tabia yao ya kugawa jezi. Unaweza kuona kamq ni tukio dogo, Lakini binadamu hupenda kuona anathaminiwa hata kwa kidogo. Mtu kupata jezi ya bure toka kwa mchezaji wa timu yake anayoipenda huku akionyeshwa na vyombo vya habari ni tukio kubwa katika maisha yake, tunaona hata Ulaya na Amerika kusini.
Cha mwisho ni huu utamaduni wa Yanga wa kujitoa kwa Jamii kila mkoa wanapokwenda. Hili linawafanya waonekane timu ya watu na iliyo karibu na watu.
Haya ni nadra kuyaona Simba baada ya Simba week.
Na mwisho wa siku semaji la caf litakuwa semaji la ukoo.

Ahamadi Alli Chukuwa hiyooo
 
Naomba kwa heshima nikuunge mkono na nichangie sababu ya kwa nini Simba haifanyi unayoyataka mikoani. Sijawahi kusikia Simba ikihamasisha mashabiki wake kwenda kuisapoti viwanja vya mikoani kwa hofu kwamba kufanya hivyo ni kuwaongezea mapato wapinzani wao. Hili linafanya mashabiki wa Simba waende uwanjani wakiwa hawana organization nzuri. Yanga inao vijana kadhaa wanaofuatana na timu karibu kila mkoa. Angalia wanachokifanya wakifika uwanjani, wanawafuata mashabiki wenzao wa mkoa husika na kuanzisha hamasa ya pamoja. Wanapiga nao picha na kuwafanya sehemu ya mchezo. Lakini msikilize msemaji wa Yanga anavyohamasisha mashabiki waende uwanjani na pia wajitokeze kujisajili kupata kadi za kielektroniki za uanachama wa timu yao.
Jambo jingine ni tabia yao ya kugawa jezi. Unaweza kuona kamq ni tukio dogo, Lakini binadamu hupenda kuona anathaminiwa hata kwa kidogo. Mtu kupata jezi ya bure toka kwa mchezaji wa timu yake anayoipenda huku akionyeshwa na vyombo vya habari ni tukio kubwa katika maisha yake, tunaona hata Ulaya na Amerika kusini.
Cha mwisho ni huu utamaduni wa Yanga wa kujitoa kwa Jamii kila mkoa wanapokwenda. Hili linawafanya waonekane timu ya watu na iliyo karibu na watu.
Haya ni nadra kuyaona Simba baada ya Simba week.
Na uzuri wa SeMBe ni kibri cha kukataa kuiga kilichoanzishwa na Uto hata kama ni kizuri.
 
Nimetafakari kwa uwezo wangu na kutazama kinachoendelea kwa timu yetu ya Simba katika michezo yake mikoani na nimejiridhisha bila shaka kuwa dharau za viongozi wetu zinatugharimu.

Kila sehemu ina mila na tamaduni zake. Ni kwa kuwashirikisha na kuwathamini tu wenyeji wa eneo husika ndiko huleta mafanikio. Wanajua wapinzani wetu wanakojificha, hivyo kutoka kwao uwezekano wa kuonyeshwa mlango wa kutokea ni mkubwa.

Tuache dharau na utamaduni wa mikoani na tuongeze ushirikishaji. Mbadilike la sivyo subirini kuondolewa kwa fedheha.
Sasa kama kuwashirikisha viongozi wa mkoani ni muhimu sana kushinda , mechi ambazo Simba alishinda mikoani last season nini kilitokea?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Aliekudanganya kwamba Gharib Ni mmiliki wa Yanga sc Ni nani?
 
Back
Top Bottom