Sasa nimeanza kumuelewa alie kuwa kocha wa Simba Patrick Ausem kuwa viongozi wengi wa bodi ya wakurugenzi hawana elimu na upeo wao wa mpira ni mdogo sana.
Ukiitizama simba kwa misimu mitatu matatizo yake ni yale yale ila utawasikia hao vilaza wakijisifu kuwa tunataka kufika mbali kimataifa.
Ukiitizama simba kwa misimu mitatu matatizo yake ni yale yale ila utawasikia hao vilaza wakijisifu kuwa tunataka kufika mbali kimataifa.