Viongozi wa Simba inabidi wajipongeze Bodi ya Ligi kununua kesi yao

Viongozi wa Simba inabidi wajipongeze Bodi ya Ligi kununua kesi yao

Amaghana

Member
Joined
Oct 20, 2024
Posts
54
Reaction score
63
Tukiacha ushabiki viongozi wa Simba waliweka mtego na Bodi ya ligi imejaa kwenye mfumo, kiuhalisia hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya Simba kugomea mechi.

Lakini kwa Sasa Hivi huwezii kusema Simba aligomea mechi ila Bodi ya ligi iliahirisha mechi kwa hiyo mpaka saivi Simba kwa kufuata kanuni haina Kosa lolote.

Ninachokiona licha ya yanga kusema haitocheza mchezo mwingine ila kiuhalisia itacheza tuu maake ikumbukwe kesi ya alikamwe haijaamliwa kwa hiyo yanga ikikataa kutumia busara na alikamwe atakula Mvua.

TFF kete waliyonayo saivi hii mechi itachezwa wakati ambao matokeo ya hiyo mechi hayataamua bingwa, watapanga wakati ambao tayari bingwa wa NBC ameishajulikana.
 
Simba wameogopa bure tu, hii mechi walikuwa wanashinda! Kwenye upambanaji na intensity walikuwa juu!

Mechi ya marudio wataingia na woga zaidi!

Labda wafanikiwa kuitoa Yanga kwenye mbio za Ubingwa mazima!

Inaonekana TFF na Bodi ya League imeshaamua mwaka huu wabadili bingwa! No wonder Kuna maamuzi ya ajabu yalikuwa yanatolewa kwenye mechi za Simba!
 
Tukiacha ushabiki viongozi wa Simba waliweka mtego na Bodi ya ligi imejaa kwenye mfumo, kiuhalisia hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya Simba kugomea mechi.

Lakini kwa Sasa Hivi huwezii kusema Simba aligomea mechi ila Bodi ya ligi iliahirisha mechi kwa hiyo mpaka saivi Simba kwa kufuata kanuni haina Kosa lolote.

Ninachokiona licha ya yanga kusema haitocheza mchezo mwingine ila kiuhalisia itacheza tuu maake ikumbukwe kesi ya alikamwe haijaamliwa kwa hiyo yanga ikikataa kutumia busara na alikamwe atakula Mvua.

TFF kete waliyonayo saivi hii mechi itachezwa wakati ambao matokeo ya hiyo mechi hayataamua bingwa, watapanga wakati ambao tayari bingwa wa NBC ameishajulikana.
Wewe nafikiri uwajui yanga vizuri nenda kawaulize wazee wako kwamba yanga linapokuja suala la msimamo ni timu ya aina Gani,,yaani wacheze mechi eti kwasababu alikamwe atafungiwa? Yanga msimamo walionao unawabeba kikanuni na kisheria ndio maana nguvu wanayo,,bodi ya ligi imetumia kitu kinachoitwa busara kuahirisha mechi na sio kanuni na miongozo ya Mpira wa miguu,,kwa maana iyo usitegemee yanga atacheza mechi nyingine
 
Ligi ya bongo ni ya kihuni na upangaji matokeo. Hasa Yanga ndo wameharibu ligi na genge lao la wanasiasa.
 
Simba wameogopa bure tu, hii mechi walikuwa wanashinda! Kwenye upambanaji na intensity walikuwa juu!

Mechi ya marudio wataingia na woga zaidi!

Labda wafanikiwa kuitoa Yanga kwenye mbio za Ubingwa mazima!

Inaonekana TFF na Bodi ya League imeshaamua mwaka huu wabadili bingwa! No wonder Kuna maamuzi ya ajabu yalikuwa yanatolewa kwenye mechi za Simba!
Upo sahihi 100%. Mimi ni shabiki wa Yanga. Ila kuna namna nilikuwa naona this time 5imba angeenda kushinda haswa ukizingatia kumkosa Aziz ki ambaye ni key player na kila derby mara nyingi anafunga, Viongozi wa 5imba wamekurupula sana.
 
Tukiacha ushabiki viongozi wa Simba waliweka mtego na Bodi ya ligi imejaa kwenye mfumo, kiuhalisia hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya Simba kugomea mechi.

Lakini kwa Sasa Hivi huwezii kusema Simba aligomea mechi ila Bodi ya ligi iliahirisha mechi kwa hiyo mpaka saivi Simba kwa kufuata kanuni haina Kosa lolote.

Ninachokiona licha ya yanga kusema haitocheza mchezo mwingine ila kiuhalisia itacheza tuu maake ikumbukwe kesi ya alikamwe haijaamliwa kwa hiyo yanga ikikataa kutumia busara na alikamwe atakula Mvua.

TFF kete waliyonayo saivi hii mechi itachezwa wakati ambao matokeo ya hiyo mechi hayataamua bingwa, watapanga wakati ambao tayari bingwa wa NBC ameishajulikana.
Hapo kwenye bold, timu ya Simba wametumia kanuni gani kutoleta timu uwanjani?

BTW kula chuma hiki hapa chini

1741507457546.png
 
Hiyo keti ambayo Simba waliisogeza ilikuwa ngumu. Bodi ya ligi kutoka hadharani na kuahirisha mechi ni wazi kuwa Simba Haina kosa Tena. Kwasasa Simba watasema tulifuata maelekezo ya bodi kuwa mechi imeahirishwa
 
Tukiacha ushabiki viongozi wa Simba waliweka mtego na Bodi ya ligi imejaa kwenye mfumo, kiuhalisia hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya Simba kugomea mechi.

Lakini kwa Sasa Hivi huwezii kusema Simba aligomea mechi ila Bodi ya ligi iliahirisha mechi kwa hiyo mpaka saivi Simba kwa kufuata kanuni haina Kosa lolote.

Ninachokiona licha ya yanga kusema haitocheza mchezo mwingine ila kiuhalisia itacheza tuu maake ikumbukwe kesi ya alikamwe haijaamliwa kwa hiyo yanga ikikataa kutumia busara na alikamwe atakula Mvua.

TFF kete waliyonayo saivi hii mechi itachezwa wakati ambao matokeo ya hiyo mechi hayataamua bingwa, watapanga wakati ambao tayari bingwa wa NBC ameishajulikana.
Nadhan wazee wako hawajawah kukusimulia misimamo ya Yanga, hakuna club tata hapa nchini kama Yanga mkuu
 
Back
Top Bottom