Viongozi wa Simba mmemkosea Mgunda

Viongozi wa Simba mmemkosea Mgunda

BRN

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
5,188
Reaction score
6,633
Kwa kilichotokea na kufanywa na viongozi wa Simba dhidi ya kocha mzawa Mgunda ni ukosefu wa fadhila na shukrani. Mgunda aliichukua timu wakati mgumu sana na kwa kipindi chote alichokuwa na timu morali ya wachezaji iliimarika na timu ilibadilika sana.

Hivi nyie viongozi mmetumia kipimo gani kupima ufanisi wa Mgunda?!mbona alifanikiwa tu..hivi mmejuaje kama Mgunda asingeifikisha timu nusu fainali?! si mngesubiri msimu uishe.

Viongozi wangu wa Simba mmeonyesha dhahiri ushamba wa sisi wa Tanzania wa kuamini watu wa nje(weupe) Wana jipya gani? Hivi, ni lini tutaamini watu wetu wa ndani kama hawa akina Mgunda.

Kila kukicha tunalalamika kwamba timu zetu zimejaa walimu kutoka nje wakati sisi hatuna walimu wanaofundisha nje..tungemuacha Mgunda aonekane kupitia Simba labda ingekuwa fursa ya yeye kuonekana na timu za nje..waliaminiwa na timu zao za ndani akina Ibenge,Motsemane nk na baadae wakapata kandarasi kubwa tu lakini imani ilianza na timu zao za ndani.

Hivi sisi hadi lini hii kasumba itatuisha..kwa kipi kikubwa huyo kocha mpya amekifanya huko alikotoka..kuifunga Mazembe?!
Kwa kweli,nimehuzunishwa,nimefadhaishwa na hiki kilichofanyika.

Msimuone Mgunda anacheka vile lakini lile tabasamu linaficha vingi sana na sina wasi wasi hata wachezaji morali imeshuka na ile jana hata kingepangwa kikosi cha kwanza wangefungwa tu.
Vile vile, hata viongozi ndani ya timu hili linaenda kuwagawa.

Hata kama Simba kuna pesa sana ila ningekuwa mimi Mgunda jana ile ile ningekuwa nishaondoka zangu( umaskini jeuri)ila yote kwa yote maamuzi anayo Mgunda mwenyewe.
Nisiwachoshe sana ila nimeona tu niiteme hii nyongo ili angalau nafsi yangu itulie,ila inauma sana na itoshe kusema kwamba wafadhila wapundaka.
 

Attachments

  • Kocha wa timu ya Simba Sports Juma Mgunda akionyesha umahiri wake katika kulisakata kabumbu Za...mp4
    1.5 MB
Kwa kilichotokea na kufanywa na viongozi wa Simba dhidi ya kocha mzawa Mgunda ni ukosefu wa fadhila na shukrani. Mgunda aliichukua timu wakati mgumu sana na kwa kipindi chote alichokuwa na timu morali ya wachezaji iliimarika na timu ilibadilika sana.

Hivi nyie viongozi mmetumia kipimo gani kupima ufanisi wa Mgunda?!mbona alifanikiwa tu..hivi mmejuaje kama Mgunda asingeifikisha timu nusu fainali?! si mngesubiri msimu uishe.

Viongozi wangu wa Simba mmeonyesha dhahiri ushamba wa sisi wa Tanzania wa kuamini watu wa nje(weupe) Wana jipya gani? Hivi, ni lini tutaamini watu wetu wa ndani kama hawa akina Mgunda.

Kila kukicha tunalalamika kwamba timu zetu zimejaa walimu kutoka nje wakati sisi hatuna walimu wanaofundisha nje..tungemuacha Mgunda aonekane kupitia Simba labda ingekuwa fursa ya yeye kuonekana na timu za nje..waliaminiwa na timu zao za ndani akina Ibenge,Motsemane nk na baadae wakapata kandarasi kubwa tu lakini imani ilianza na timu zao za ndani.

Hivi sisi hadi lini hii kasumba itatuisha..kwa kipi kikubwa huyo kocha mpya amekifanya huko alikotoka..kuifunga Mazembe?!
Kwa kweli,nimehuzunishwa,nimefadhaishwa na hiki kilichofanyika.

Msimuone Mgunda anacheka vile lakini lile tabasamu linaficha vingi sana na sina wasi wasi hata wachezaji morali imeshuka na ile jana hata kingepangwa kikosi cha kwanza wangefungwa tu.
Vile vile, hata viongozi ndani ya timu hili linaenda kuwagawa.

Hata kama Simba kuna pesa sana ila ningekuwa mimi Mgunda jana ile ile ningekuwa nishaondoka zangu( umaskini jeuri)ila yote kwa yote maamuzi anayo Mgunda mwenyewe.
Nisiwachoshe sana ila nimeona tu niiteme hii nyongo ili angalau nafsi yangu itulie,ila inauma sana na itoshe kusema kwamba wafadhila wapundaka.
Mwajiri ana maamuzi Muda wowote kukuachisha au kukubadilishia majukumu.
 
Kwa kilichotokea na kufanywa na viongozi wa Simba dhidi ya kocha mzawa Mgunda ni ukosefu wa fadhila na shukrani. Mgunda aliichukua timu wakati mgumu sana na kwa kipindi chote alichokuwa na timu morali ya wachezaji iliimarika na timu ilibadilika sana.

Hivi nyie viongozi mmetumia kipimo gani kupima ufanisi wa Mgunda?!mbona alifanikiwa tu..hivi mmejuaje kama Mgunda asingeifikisha timu nusu fainali?! si mngesubiri msimu uishe.

Viongozi wangu wa Simba mmeonyesha dhahiri ushamba wa sisi wa Tanzania wa kuamini watu wa nje(weupe) Wana jipya gani? Hivi, ni lini tutaamini watu wetu wa ndani kama hawa akina Mgunda.

Kila kukicha tunalalamika kwamba timu zetu zimejaa walimu kutoka nje wakati sisi hatuna walimu wanaofundisha nje..tungemuacha Mgunda aonekane kupitia Simba labda ingekuwa fursa ya yeye kuonekana na timu za nje..waliaminiwa na timu zao za ndani akina Ibenge,Motsemane nk na baadae wakapata kandarasi kubwa tu lakini imani ilianza na timu zao za ndani.

Hivi sisi hadi lini hii kasumba itatuisha..kwa kipi kikubwa huyo kocha mpya amekifanya huko alikotoka..kuifunga Mazembe?!
Kwa kweli,nimehuzunishwa,nimefadhaishwa na hiki kilichofanyika.

Msimuone Mgunda anacheka vile lakini lile tabasamu linaficha vingi sana na sina wasi wasi hata wachezaji morali imeshuka na ile jana hata kingepangwa kikosi cha kwanza wangefungwa tu.
Vile vile, hata viongozi ndani ya timu hili linaenda kuwagawa.

Hata kama Simba kuna pesa sana ila ningekuwa mimi Mgunda jana ile ile ningekuwa nishaondoka zangu( umaskini jeuri)ila yote kwa yote maamuzi anayo Mgunda mwenyewe.
Nisiwachoshe sana ila nimeona tu niiteme hii nyongo ili angalau nafsi yangu itulie,ila inauma sana na itoshe kusema kwamba wafadhila wapundaka.
Tumekusikia Pep mnene.
 
Kuitoa Mazembe asiingie makundi unakuchukulia poa? Ni lini timu ya Tanzania iliitoa Mazembe?
 
Huko Zanzibar tunapoteza muda tu, hayo mazoezi tunayofanya huko yanatosha, mengine tutakuja kufanyia Dsm..

Huu ni muda wa wachezaji kupumzika..
 
Kwa kilichotokea na kufanywa na viongozi wa Simba dhidi ya kocha mzawa Mgunda ni ukosefu wa fadhila na shukrani. Mgunda aliichukua timu wakati mgumu sana na kwa kipindi chote alichokuwa na timu morali ya wachezaji iliimarika na timu ilibadilika sana.

Hivi nyie viongozi mmetumia kipimo gani kupima ufanisi wa Mgunda?!mbona alifanikiwa tu..hivi mmejuaje kama Mgunda asingeifikisha timu nusu fainali?! si mngesubiri msimu uishe.

Viongozi wangu wa Simba mmeonyesha dhahiri ushamba wa sisi wa Tanzania wa kuamini watu wa nje(weupe) Wana jipya gani? Hivi, ni lini tutaamini watu wetu wa ndani kama hawa akina Mgunda.

Kila kukicha tunalalamika kwamba timu zetu zimejaa walimu kutoka nje wakati sisi hatuna walimu wanaofundisha nje..tungemuacha Mgunda aonekane kupitia Simba labda ingekuwa fursa ya yeye kuonekana na timu za nje..waliaminiwa na timu zao za ndani akina Ibenge,Motsemane nk na baadae wakapata kandarasi kubwa tu lakini imani ilianza na timu zao za ndani.

Hivi sisi hadi lini hii kasumba itatuisha..kwa kipi kikubwa huyo kocha mpya amekifanya huko alikotoka..kuifunga Mazembe?!
Kwa kweli,nimehuzunishwa,nimefadhaishwa na hiki kilichofanyika.

Msimuone Mgunda anacheka vile lakini lile tabasamu linaficha vingi sana na sina wasi wasi hata wachezaji morali imeshuka na ile jana hata kingepangwa kikosi cha kwanza wangefungwa tu.
Vile vile, hata viongozi ndani ya timu hili linaenda kuwagawa.

Hata kama Simba kuna pesa sana ila ningekuwa mimi Mgunda jana ile ile ningekuwa nishaondoka zangu( umaskini jeuri)ila yote kwa yote maamuzi anayo Mgunda mwenyewe.
Nisiwachoshe sana ila nimeona tu niiteme hii nyongo ili angalau nafsi yangu itulie,ila inauma sana na itoshe kusema kwamba wafadhila wapundaka.
Simba wamezingua Sana, Mo kaitisha kura mtandaoni ya kumleta kocha mpya!

Shida ya simba ilikuwa ni kuongeza wachezaji mnamlaumu mgunda wakati striker wetu ni kibu Dennis, Badala ya kusajili Manzoki au quality player mnatubadilishia kocha
 
Kwa kilichotokea na kufanywa na viongozi wa Simba dhidi ya kocha mzawa Mgunda ni ukosefu wa fadhila na shukrani. Mgunda aliichukua timu wakati mgumu sana na kwa kipindi chote alichokuwa na timu morali ya wachezaji iliimarika na timu ilibadilika sana.

Hivi nyie viongozi mmetumia kipimo gani kupima ufanisi wa Mgunda?!mbona alifanikiwa tu..hivi mmejuaje kama Mgunda asingeifikisha timu nusu fainali?! si mngesubiri msimu uishe.

Viongozi wangu wa Simba mmeonyesha dhahiri ushamba wa sisi wa Tanzania wa kuamini watu wa nje(weupe) Wana jipya gani? Hivi, ni lini tutaamini watu wetu wa ndani kama hawa akina Mgunda.

Kila kukicha tunalalamika kwamba timu zetu zimejaa walimu kutoka nje wakati sisi hatuna walimu wanaofundisha nje..tungemuacha Mgunda aonekane kupitia Simba labda ingekuwa fursa ya yeye kuonekana na timu za nje..waliaminiwa na timu zao za ndani akina Ibenge,Motsemane nk na baadae wakapata kandarasi kubwa tu lakini imani ilianza na timu zao za ndani.

Hivi sisi hadi lini hii kasumba itatuisha..kwa kipi kikubwa huyo kocha mpya amekifanya huko alikotoka..kuifunga Mazembe?!
Kwa kweli,nimehuzunishwa,nimefadhaishwa na hiki kilichofanyika.

Msimuone Mgunda anacheka vile lakini lile tabasamu linaficha vingi sana na sina wasi wasi hata wachezaji morali imeshuka na ile jana hata kingepangwa kikosi cha kwanza wangefungwa tu.
Vile vile, hata viongozi ndani ya timu hili linaenda kuwagawa.

Hata kama Simba kuna pesa sana ila ningekuwa mimi Mgunda jana ile ile ningekuwa nishaondoka zangu( umaskini jeuri)ila yote kwa yote maamuzi anayo Mgunda mwenyewe.
Nisiwachoshe sana ila nimeona tu niiteme hii nyongo ili angalau nafsi yangu itulie,ila inauma sana na itoshe kusema kwamba wafadhila wapundaka.
Wewe jamaa ni mshamba sana, ina maana wakati wanamuajiri huyo Mgunda hukuwasikia wakitamka kuwa ni kocha wa muda?! Na mchakato wa kutafuta kocha mkuu ulikua unaendelea tangu anaajiriwa huyo Mgunda na yeye mwenyewe alikuwa anajua kuwa ni kocha wa muda. Kama angekuwa haikubaliani ni vigezo walivyompa kipindi hicho angekataa tu. Nani angemlazimisha?! Timu imeshinda mechi sababu ya morali tu za wachezaji, lakini mechi ikiwa ngumu, huyu mzee hana mbinu yoyote zaidi ya kuweka mikono mifukoni. Mfano mechi na Mbeya city timu imepoteana hadi wanachomoa anakodoa tu, Kmc wanachomoa bao mbili zote anakodoa tu sub anafanya dakika ya 80. Ukifuatilia mechi zote Simba alizodondosha point ni kuzidiwa mbinu tu za uwanjani. Yaan wewe umenogewa hivi anavyovifunga vitimu vya kinyonge!!
 
Wewe unajua walikubaliana nini wakati wanamchukua coast?vipi kama yeye ndio kataka kutoka.
 
Wewe jamaa ni mshamba sana, ina maana wakati wanamuajiri huyo Mgunda hukuwasikia wakitamka kuwa ni kocha wa muda?! Na mchakato wa kutafuta kocha mkuu ulikua unaendelea tangu anaajiriwa huyo Mgunda na yeye mwenyewe alikuwa anajua kuwa ni kocha wa muda. Kama angekuwa haikubaliani ni vigezo walivyompa kipindi hicho angekataa tu. Nani angemlazimisha?! Timu imeshinda mechi sababu ya morali tu za wachezaji, lakini mechi ikiwa ngumu, huyu mzee hana mbinu yoyote zaidi ya kuweka mikono mifukoni. Mfano mechi na Mbeya city timu imepoteana hadi wanachomoa anakodoa tu, Kmc wanachomoa bao mbili zote anakodoa tu sub anafanya dakika ya 80. Ukifuatilia mechi zote Simba alizodondosha point ni kuzidiwa mbinu tu za uwanjani. Yaan wewe umenogewa hivi anavyovifunga vitimu vya kinyonge!!
Ahsante..heshimu maoni yangu kama nilivyoheshimu yako.
 
Wewe jamaa ni mshamba sana, ina maana wakati wanamuajiri huyo Mgunda hukuwasikia wakitamka kuwa ni kocha wa muda?! Na mchakato wa kutafuta kocha mkuu ulikua unaendelea tangu anaajiriwa huyo Mgunda na yeye mwenyewe alikuwa anajua kuwa ni kocha wa muda. Kama angekuwa haikubaliani ni vigezo walivyompa kipindi hicho angekataa tu. Nani angemlazimisha?! Timu imeshinda mechi sababu ya morali tu za wachezaji, lakini mechi ikiwa ngumu, huyu mzee hana mbinu yoyote zaidi ya kuweka mikono mifukoni. Mfano mechi na Mbeya city timu imepoteana hadi wanachomoa anakodoa tu, Kmc wanachomoa bao mbili zote anakodoa tu sub anafanya dakika ya 80. Ukifuatilia mechi zote Simba alizodondosha point ni kuzidiwa mbinu tu za uwanjani. Yaan wewe umenogewa hivi anavyovifunga vitimu vya kinyonge!!
Ameifikisha makundi ya CAF kashinda mechi za away!!! Ni malengo yapi ulimpa akashindwa kutimiza?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mashabiki tukubaliane na hali, viongozi wanajua wanachokifanya.

wanafanya haya yote kwa malengo mema. Hata kipindi Mgunda analetwa Simba mashabiki wengine mliponda na kudhihaki sana ujio wake.

Bahati nzuri toka mwanzo taarifa ilijieleza wazi kuwa JUMA MGUNDA atakuwa kocha wa muda na yeye aliridhia hilo.
 
Mgundaa..hebu tazana hiyo ball control
 

Attachments

  • Kocha wa timu ya Simba Sports Juma Mgunda akionyesha umahiri wake katika kulisakata kabumbu Za...mp4
    1.5 MB
Achilia mbali Mgunda. Simba pia imelifedhehesha Taifa kwa kuvuliwa ubingwa wa Mapinduzi na Mlandege ya Zanzibar.

Watanganyika wengi jana tulilazimika kulala na viatu, kutokana na hii fedheha.
Bonanza nalo unapigia kelele
 
Wewe jamaa ni mshamba sana, ina maana wakati wanamuajiri huyo Mgunda hukuwasikia wakitamka kuwa ni kocha wa muda?! Na mchakato wa kutafuta kocha mkuu ulikua unaendelea tangu anaajiriwa huyo Mgunda na yeye mwenyewe alikuwa anajua kuwa ni kocha wa muda. Kama angekuwa haikubaliani ni vigezo walivyompa kipindi hicho angekataa tu. Nani angemlazimisha?! Timu imeshinda mechi sababu ya morali tu za wachezaji, lakini mechi ikiwa ngumu, huyu mzee hana mbinu yoyote zaidi ya kuweka mikono mifukoni. Mfano mechi na Mbeya city timu imepoteana hadi wanachomoa anakodoa tu, Kmc wanachomoa bao mbili zote anakodoa tu sub anafanya dakika ya 80. Ukifuatilia mechi zote Simba alizodondosha point ni kuzidiwa mbinu tu za uwanjani. Yaan wewe umenogewa hivi anavyovifunga vitimu vya kinyonge!!
Ukimpa mtu nafasi na akafanya vizuri kuna ubaya gani wa kumpa mkataba? Ole alipewa man u kwa muda anakafanya vzr akapewa mkataba, zidane alipewa real madrid kwa muda akafanya vizuri akapewa mkataba., niambie kosa la mgunda moaka sasa ni nini? Kama suala ni kufungwa au kuzidiwa mbinu iyo inatokea kwa kocha yoyote.. juzi tumeshuudia klopp kala goli 3 kwa watoto wadogo tu, gadiora mara kibao tu anapigwa, yanga pamoja na ubora wao lakini walipogwa na ihefu inayoshika nafasi za chini kwenye ligi sembuse mgunda
 
Kwa kilichotokea na kufanywa na viongozi wa Simba dhidi ya kocha mzawa Mgunda ni ukosefu wa fadhila na shukrani. Mgunda aliichukua timu wakati mgumu sana na kwa kipindi chote alichokuwa na timu morali ya wachezaji iliimarika na timu ilibadilika sana.

Hivi nyie viongozi mmetumia kipimo gani kupima ufanisi wa Mgunda?!mbona alifanikiwa tu..hivi mmejuaje kama Mgunda asingeifikisha timu nusu fainali?! si mngesubiri msimu uishe.

Viongozi wangu wa Simba mmeonyesha dhahiri ushamba wa sisi wa Tanzania wa kuamini watu wa nje(weupe) Wana jipya gani? Hivi, ni lini tutaamini watu wetu wa ndani kama hawa akina Mgunda.

Kila kukicha tunalalamika kwamba timu zetu zimejaa walimu kutoka nje wakati sisi hatuna walimu wanaofundisha nje..tungemuacha Mgunda aonekane kupitia Simba labda ingekuwa fursa ya yeye kuonekana na timu za nje..waliaminiwa na timu zao za ndani akina Ibenge,Motsemane nk na baadae wakapata kandarasi kubwa tu lakini imani ilianza na timu zao za ndani.

Hivi sisi hadi lini hii kasumba itatuisha..kwa kipi kikubwa huyo kocha mpya amekifanya huko alikotoka..kuifunga Mazembe?!
Kwa kweli,nimehuzunishwa,nimefadhaishwa na hiki kilichofanyika.

Msimuone Mgunda anacheka vile lakini lile tabasamu linaficha vingi sana na sina wasi wasi hata wachezaji morali imeshuka na ile jana hata kingepangwa kikosi cha kwanza wangefungwa tu.
Vile vile, hata viongozi ndani ya timu hili linaenda kuwagawa.

Hata kama Simba kuna pesa sana ila ningekuwa mimi Mgunda jana ile ile ningekuwa nishaondoka zangu( umaskini jeuri)ila yote kwa yote maamuzi anayo Mgunda mwenyewe.
Nisiwachoshe sana ila nimeona tu niiteme hii nyongo ili angalau nafsi yangu itulie,ila inauma sana na itoshe kusema kwamba wafadhila wapundaka.
Majungu si mtaji
 
Back
Top Bottom