Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mourinho kacheza timu gani?umecheza timu gani mkuu, na ilikuwa mwaka gani??
Maroun Tchakei☝️Nimewahi kuwaomba na kuwashauri mumsajili Kevin Nashon ambaye naskia Yanga wako mbioni kumalizana naye, mpira wengine tunaujua nyie mnatuchukulia poa t.
Niliwahi kushauri kuhusu Mudathiri mkanipuuza, ss hv nawashauri tena Gerad Gwalala wa Coastal Union ni mali, Mtenje Albano ni mali, Maroun Tchakei ni mali pia
ka google kisha urudi mkuuMourinho kacheza timu gani?
Ndio maana mnasajili magarasa ili mradi kutimiza idadiNdio maana ikawekwa idadi maalumu ya kusajili..yaani Kila mchezaji asajiliwe itakuaje sasa
Mbao fcMourinho kacheza timu gani?
Kwa hiyo kila mchezaji unayempoint wewe asajiliwe na Simba? Wewe wa wapi wewe ?Nimewahi kuwaomba na kuwashauri mumsajili Kevin Nashon ambaye naskia Yanga wako mbioni kumalizana naye, mpira wengine tunaujua nyie mnatuchukulia poa t.
Niliwahi kushauri kuhusu Mudathiri mkanipuuza, ss hv nawashauri tena Gerad Gwalala wa Coastal Union ni mali, Mtenje Albano ni mali, Maroun Tchakei ni mali pia
Mchezaji mwenyewe nguvu nyingi, mi faulo kibao wala simkubali. Aende Simba.Nimewahi kuwaomba na kuwashauri mumsajili Kevin Nashon ambaye naskia Yanga wako mbioni kumalizana naye, mpira wengine tunaujua nyie mnatuchukulia poa t.
Niliwahi kushauri kuhusu Mudathiri mkanipuuza, ss hv nawashauri tena Gerad Gwalala wa Coastal Union ni mali, Mtenje Albano ni mali, Maroun Tchakei ni mali pia