Viongozi wa Simba mmeshindwa na hamtaki kukubali kuwa mmeshindwa...simple!!

Viongozi wa Simba mmeshindwa na hamtaki kukubali kuwa mmeshindwa...simple!!

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Kanuni IPO wazi kabisa, wanaohusika watawajibishwa, HII YA KUSUSIA MCHEZO hapana sijaiona kwenye hizo kanuni

Tuseme labda ni UOGA??, inawezekana na pia ni njia ya viongozi kujikingia kifua, isionekane kuwa wamefeli kwa mara nyingine, wanataka kuvuta vuta kamda ( hii game Simba ilitakiwa ashinde TU )....labda Mkifuzu nusu fainali CAFCC, itapunguza presha si kama ilivyo sasa

Haya kama kawaida mmegomea mkijua BUSARA itatumika na MECHI kupangiwa tarehe nyingine....

Haya na wananchi nao wamesema msipocheza Leo, basi nao wanasusa mazimaa, hapo vipi?
 
Mechi ni leo wasilete visingizio..na mvua imenyesha nyesha, mbona wangeshinda?? Walete timu matokeo uwanjani..yanga akifungwa sio ajabu kwani ashamshenyeta simba hivi karibuni..hana cha kupoteza ila simba wakze hii ndo mechi yao sasa
 
Kanuni IPO wazi kabisa, wanaohusika watawajibishwa, HII YA KUSUSIA MCHEZO hapana sijaiona kwenye hizo kanuni

Tuseme labda ni UOGA??, inawezekana na pia ni njia ya viongozi kujikingia kifua, isionekane kuwa wamefeli kwa mara nyingine, wanataka kuvuta vuta kamda ( hii game Simba ilitakiwa ashinde TU )....labda Mkifuzu nusu fainali CAFCC, itapunguza presha si kama ilivyo sasa

Haya kama kawaida mmegomea mkijua BUSARA itatumika na MECHI kupangiwa tarehe nyingine....

Haya na wananchi nao wamesema msipocheza Leo, basi nao wanasusa mazimaa, hapo vipi?
wananchi kwa maana mashabiki wenu ama wananchi yanga..?
kama ni wananchi yanga sisi hata mbadilishe siku ama uwanja hatususi still bado tunamtaka my wetu hata vichakani sisi hatuna baya...🤣
 
Yanga alivyokimbia walitumia kanuni gani.
 
Mechi ni leo wasilete visingizio..na mvua imenyesha nyesha, mbona wangeshinda?? Walete timu matokeo uwanjani..yanga akifungwa sio ajabu kwani ashamshenyeta simba hivi karibuni..hana cha kupoteza ila simba wakze hii ndo mechi yao sasa
unawapa moyo mchezo ukiisha wakija kulilia kwako utaweza kuwabembeleza..?😂
 
Sisi hatujawazuia kwenda uwanjan
Nendeni mkaujaze uwanja

Ubaya ubwela 🔥🔥🔥
 
Kwahiyo hawa Simba saivi wako wapi labda!? Kwa mfano yaanii
 
Back
Top Bottom