Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Kanuni IPO wazi kabisa, wanaohusika watawajibishwa, HII YA KUSUSIA MCHEZO hapana sijaiona kwenye hizo kanuni
Tuseme labda ni UOGA??, inawezekana na pia ni njia ya viongozi kujikingia kifua, isionekane kuwa wamefeli kwa mara nyingine, wanataka kuvuta vuta kamda ( hii game Simba ilitakiwa ashinde TU )....labda Mkifuzu nusu fainali CAFCC, itapunguza presha si kama ilivyo sasa
Haya kama kawaida mmegomea mkijua BUSARA itatumika na MECHI kupangiwa tarehe nyingine....
Haya na wananchi nao wamesema msipocheza Leo, basi nao wanasusa mazimaa, hapo vipi?
Tuseme labda ni UOGA??, inawezekana na pia ni njia ya viongozi kujikingia kifua, isionekane kuwa wamefeli kwa mara nyingine, wanataka kuvuta vuta kamda ( hii game Simba ilitakiwa ashinde TU )....labda Mkifuzu nusu fainali CAFCC, itapunguza presha si kama ilivyo sasa
Haya kama kawaida mmegomea mkijua BUSARA itatumika na MECHI kupangiwa tarehe nyingine....
Haya na wananchi nao wamesema msipocheza Leo, basi nao wanasusa mazimaa, hapo vipi?