Timu limejaa makanjanja, lazima liendeshwe kindondo[emoji1787]"Aubin Kramo anasumbuliwa na goti, huenda tatizo lake lilianzia ASEC [emoji1081] lakini limekuja kujitokeza Simba. Tumempa ruhusa kwenda Nchini kwao (Ivory coast) kujitibu zaidi kisha atarejea. Madaktari wamesema kama tungeendelea kumchezesha huenda angepoteza career yake
Ahmed Ally
hii imekaaje mchezaji anaumia anaruhusuwa akajitibie mwenyewe kwao, mambo ya kizaman sana haya!"Aubin Kramo anasumbuliwa na goti, huenda tatizo lake lilianzia ASEC [emoji1081] lakini limekuja kujitokeza Simba. Tumempa ruhusa kwenda Nchini kwao (Ivory coast) kujitibu zaidi kisha atarejea. Madaktari wamesema kama tungeendelea kumchezesha huenda angepoteza career yake
Ahmed Ally
Kwani unaelewa jinsi walivyokubaliana na mchezaji? Simba imepeleka wachezaji wangapi India na South Africa kutibiwa, tena ikiwa hoi kifedha, itakuwa sasa? Msijidai sana kuwa wajuaji wakati waliopo kwenye klabu wanajua nini kinatakiwa"Aubin Kramo anasumbuliwa na goti, huenda tatizo lake lilianzia ASEC [emoji1081] lakini limekuja kujitokeza Simba. Tumempa ruhusa kwenda Nchini kwao (Ivory coast) kujitibu zaidi kisha atarejea. Madaktari wamesema kama tungeendelea kumchezesha huenda angepoteza career yake
Ahmed Ally
Ana pumzika kwa kazi gani aliyofanya?Mchezaji ndio aliomba kwenda kwao, taarifa ya daktari ilitaka apumzike wiki mbili hizo taarifa nyingine ni propaganda.
Si kuna Mo bimaMkataba unacover Afya?
Mkataba unacover?Si kuna Mo bima
Anapumzika kutokana na tatizo lake la goti.Ana pumzika kwa kazi gani aliyofanya?
Kibu D. huyo kafanza yake.Hapo ni ushirikina unaenda kufanyika na kilabu kimebariki mpango huo
Acha warogane soon watamroga hadi bwana mudiKibu D. huyo kafanza yake.
Ingependeza sana wakimroga Mwamedi.Acha warogane soon watamroga hadi bwana mudi
Ila hapo kuna uswahili ni kama wanaamini karogwa maana hawajafuata ushauri wa mtalaam(daktari).Mchezaji ndio aliomba kwenda kwao, taarifa ya daktari ilitaka apumzike wiki mbili hizo taarifa nyingine ni propaganda.