NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Utakuta mpaka wanarogana.Hii ni mara ya pili hawapeani mikono kila wanapofanyiwa substitution hawapeani mikono kabisa.
Simba sc vs coastal union kapombe na Mwenda walipishana kwa mbali Sana
Na game ya Simba SC vs Al Ahly Shomari kapombe na Mwenda wamepishana Kama magali mabovu hakuna hata kupeana mkono wa baraka Kama wafanyavyo wachezaji wengine.
Je, viongozi wa Simba sc mmeshindwa kabisa kuwaweka sawa/ kuamua ugomvi wao?
Mbona umezikimbia nyuzi zako!! Endelea kulia kilio cha kichawi cha ngwena! ngwena! ngwena! ngwena! Haya ya simba hayakuhusu!! Kwa tarifa tu ni kwamba simba wamezikunja pesa za mama tsh 20,000.000/=!! Kumbuka ulichokisema!!Hii ni mara ya pili hawapeani mikono kila wanapofanyiwa substitution hawapeani mikono kabisa.
Simba sc vs coastal union kapombe na Mwenda walipishana kwa mbali Sana
Na game ya Simba sc vs Al ahly Shomari kapombe na Mwenda wamepishana Kama magali mabovu hakuna hata kupeana mkono wa baraka Kama wafanyavyo wachezaji wengine.
Je viongozi wa Simba sc mmeshindwa kabisa kuwaweka sawa/ kuamua ugomvi wao??
Halafu nyuzi zake zote alizoanzisha amezitelekeza kwa aibu!! kilio chake ni ngwena! ngwena! ngwena! kilio cha kichawi hicho ambacho wachawi hulia baada ya uchawi wao kugonga mwamba!We jamaa toka jana umefululiza kutoa nyuzi za kipumbavu!
Nenda ukawapatanishe
Sio utakuta.Utakuta mpaka wanarogana.
Sisi tunaangalia kandanda safi, wewe unaangalia mikono. Kila mtu aangalie anachokipendaHii ni mara ya pili hawapeani mikono kila wanapofanyiwa substitution hawapeani mikono kabisa.
Simba vs Coastal Union Kapombe na Mwenda walipishana kwa mbali Sana
Na game ya Simba SC vs Al Ahly Shomari kapombe na Mwenda wamepishana Kama magali mabovu hakuna hata kupeana mkono wa baraka Kama wafanyavyo wachezaji wengine.
Hii inahusiana na mada???au ushabugia ugolo chief!"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
MALIZIA NA RAGE ALIVYOWAITA MBUMBUMBU"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
Umri jamani tena amejitahidi sana.......wenzake wengi chali sasa wako mtaani njaa kaliHuyu Kapombe inabidi benchi ianze kumuhusu maana siku hizi amekuwa uchochoro.
NOMA SANA.Umri jamani tena amejitahidi sana.......wenzake wengi chali sasa wako mtaani njaa kali
HUYO JAMAA HANA AKILI NA HANA MARINDA.Hii inahusiana na mada???au ushabugia ugolo chief!
NOMA SANA AISEUkianza kumpa mkono imekula kwako.!
JIKITE KWENYE HOJA ILI TUONDOE UGOMVI ULIOPO NDANI YAO.Sisi tunaangalia kandanda safi, wewe unaangalia mikono. Kila mtu aangalie anachokipenda
HIYO NDIYO SABABU KUBWA INASEMEKANA WANAPIGANA MISUMALI SIYO MCHEZO.Utakuta mpaka wanarogana.