Viongozi wa Simba SC mmeshindwa kabisa kuamua ugomvi wa Shomari kapombe na Israel Mwenda?

Mbona umezikimbia nyuzi zako!! Endelea kulia kilio cha kichawi cha ngwena! ngwena! ngwena! ngwena! Haya ya simba hayakuhusu!! Kwa tarifa tu ni kwamba simba wamezikunja pesa za mama tsh 20,000.000/=!! Kumbuka ulichokisema!!
NASIKIA MMECHUKUA MILIONI 20
HONGERENI SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…