Viongozi wa Simba shughulikieni tatizo la Ateba, ameshapigwa misumari tayari

Viongozi wa Simba shughulikieni tatizo la Ateba, ameshapigwa misumari tayari

Ateba niliyemuona leo sio yule ambaye tunamjua, wamemwekea misumari miguuni,

Viongozi wangu wa Simba lifanyieni kazi hili jambo, sio kawaida kwa Ateba kutoka kapa uwanjani mechi ya nne hii.
Sio kweli ateba ni mchezaji wa kiwango cha kawaida tu.
Viongozi wa Simba na Mo waache ubabaifu watoe hela wasajili wachezaji wa maana.

Aiingi akili timu kubwa kama simba inakushanya lundo la wachezaji underdogs wa kawaida eti kikosi kinapikwa taratibu ndo nini sasa hiko yaani timu kubwa hivyo inawatu wanaudumavu wa akili sana.
 
Ateba, ni Mchezaji mzuri ila anapozwa na tabia ya kujiona yeye ni bora kuliko mtu yeyote yule uwanjani.

Anaona kama wachezaji wengine hawajui mpira kumshinda yeye.

Hajitumi ye katilia tu, hajui nature ya ligi ya Tanzania ni tofauti na ligue zingine, hapa bila kujituma maisha ya ligue ya Tz utayaona magumu.
Hapa mshambuliaji anarudi nyuma kukaba na kutafuta mipira
 
yes kama mpanzu atakuwa productive simba itakuwa hatari hutamuona ateba akihangaika tena kufunga.
Kiongozi labda nilivyokuelewa ni kwamba tunakosa viungo wa pembeni wazuri wakusaidiana na kiungo wa kati namba 10 ....maana mpira wa saivi unatumia Sana viungo wa pembeni kwa namba 7 na 11 kuliko wachezaji wenye asili ya winga za kizamani.
Hii inasaidia hata mkiwa mmekamatwa namba 10 wenu na striker bado hawa viungo wa pembeni wanaweza kuingia ndani na kushambulia na kufunga pia. Eg Al ahly, Yanga , Al hilal, timu ya taifa ya Congo, nk
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Ateba niliyemuona leo sio yule ambaye tunamjua, wamemwekea misumari miguuni,

Viongozi wangu wa Simba lifanyieni kazi hili jambo, sio kawaida kwa Ateba kutoka kapa uwanjani mechi ya nne hii.
Anatimiza mwezi hajafunga
 
Back
Top Bottom