Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nimepenyezewa na watu wangu kuwa mipango inafanyika Simba apoteze kwenye mchezo wake dhidi ya Bata Bullets siku ya Jumapili, kuna uchafu mkubwa umefanyika ili tuondoshwe.
Nashauri mchezo wa kesho ukiisha tusiingie kichwa kichwa, kuna balaa limefanyika na watu wa upande wa pili ili wao wafurahi na wameshafurahi lakini Jumapili sisi tufe kwa Wamalawi kama tulivyokufa kwa Wabotswana.
Shida viongozi wetu wa Simba wanapenda sana kupuuza mambo tukiwashauri, wanatuona sisi hatuna akili na wao ndio wana akili sana, hivi mm niliyeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1989 nawezaje kudharauliwa na Barbara ambaye amekuja Simba juzi tu na hajui machungu ya Simba ikifungwa.
Mdharau mwiba huota tende, Utopolo wakimaliza mechi yao wataufanya mchezo wa kuwa mgumu mno, mfano mzuri angalieni walipocheza na Azam FC, kesho yake tukapata wakati mgumu mno kwa KMC wakati KMC ni mtoto mdogo tu.
Chondechonde viongozi, niko chini ya miguu yenu, Jumapili tutatafutana hapa, nyie haya tu. Mnadhani kama natania lakini ukweli ndio huo, wanaofanya mipango hiyo wapo na wanaendelea na mipango yao ili tufe bao 3-1 tena.
Nashauri mchezo wa kesho ukiisha tusiingie kichwa kichwa, kuna balaa limefanyika na watu wa upande wa pili ili wao wafurahi na wameshafurahi lakini Jumapili sisi tufe kwa Wamalawi kama tulivyokufa kwa Wabotswana.
Shida viongozi wetu wa Simba wanapenda sana kupuuza mambo tukiwashauri, wanatuona sisi hatuna akili na wao ndio wana akili sana, hivi mm niliyeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1989 nawezaje kudharauliwa na Barbara ambaye amekuja Simba juzi tu na hajui machungu ya Simba ikifungwa.
Mdharau mwiba huota tende, Utopolo wakimaliza mechi yao wataufanya mchezo wa kuwa mgumu mno, mfano mzuri angalieni walipocheza na Azam FC, kesho yake tukapata wakati mgumu mno kwa KMC wakati KMC ni mtoto mdogo tu.
Chondechonde viongozi, niko chini ya miguu yenu, Jumapili tutatafutana hapa, nyie haya tu. Mnadhani kama natania lakini ukweli ndio huo, wanaofanya mipango hiyo wapo na wanaendelea na mipango yao ili tufe bao 3-1 tena.