Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Binafsi nawachukia sana.Kila mchezaji mzuri wanayemtafuta,unakuta wamezidiwa kete na utopolo.Leo Try again amewaahidi tena Simba kuwa msim ujao hawatakuwa wanyonge, ni kama alivyoahidi kwenye mkutano mkuu wa Simba kuwa ubingwa msimu huu ni wetu halafu kila mtu anajua kinachoendelea.
Mna mipango mizuri sana na watu tunawaelewa shida kuna wale jamaa wanaojita marafiki watawaharibia t, kuna mechi lazima wawapigishe shoti ili SGM atangaze tena ubingwa msimu ujao.
Mambo sio easy kama mnavyotaka kutuaminisha.Safari hii mkitudanganya na ubingwa ukapotea msione taabu kuachia timu, Simba ni kubwa sana na wapo watu wengi wenye uwezo wa kuiongoza.
Ujibiwe Una hoja.Hivi ubingw nikwa Simba na yanga pekeee??
Eng. Hersi aliwapa code ambayo amkutaka kujishughulisha na kujua ina maana gani, aliwaambia kuvaa jeans zilizochanika isiwe kigezo cha kuwadharau na kuwaita wahuni bali zingatieni big brain iliyopo vichwani mwa hao watu ndiyo itaendelea kuwatesa miaka yote! Sasa hivi simba imebaki kwenye propaganda na kusajili wachezaji kutoka ligi dhaifu ya Rwanda wakati wenzao wametuliza vichwa kuwashusha wakina makabi lilepo wa Al hilal alafu ligi ikianza mashabiki wenu waanze kulia lia mara oooh bahasha!Leo Try again amewaahidi tena Simba kuwa msimu ujao hawatakuwa wanyonge, ni kama alivyoahidi kwenye Mkutano Mkuu wa Simba kuwa Ubingwa msimu huu ni wetu halafu kila mtu anajua kinachoendelea.
Mna mipango mizuri sana na watu tunawaelewa shida kuna wale jamaa wanaojita marafiki watawaharibia tu, kuna mechi lazima wawapigishe shoti ili SGM atangaze tena ubingwa msimu ujao.
Mambo sio rahisi kama mnavyotaka kutuaminisha. Safari hii mkitudanganya na Ubingwa ukapotea msione tabu kuachia timu, Simba ni kubwa sana na wapo watu wengi wenye uwezo wa kuiongoza.
Pasingekuwa na ligi ya kugombea ubingwa.Hivi ubingw nikwa Simba na yanga pekeee??