Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Leo Try again amewaahidi tena Simba kuwa msimu ujao hawatakuwa wanyonge, ni kama alivyoahidi kwenye Mkutano Mkuu wa Simba kuwa Ubingwa msimu huu ni wetu halafu kila mtu anajua kinachoendelea.
Mna mipango mizuri sana na watu tunawaelewa shida kuna wale jamaa wanaojita marafiki watawaharibia tu, kuna mechi lazima wawapigishe shoti ili SGM atangaze tena ubingwa msimu ujao.
Mambo sio rahisi kama mnavyotaka kutuaminisha. Safari hii mkitudanganya na Ubingwa ukapotea msione tabu kuachia timu, Simba ni kubwa sana na wapo watu wengi wenye uwezo wa kuiongoza.
Mna mipango mizuri sana na watu tunawaelewa shida kuna wale jamaa wanaojita marafiki watawaharibia tu, kuna mechi lazima wawapigishe shoti ili SGM atangaze tena ubingwa msimu ujao.
Mambo sio rahisi kama mnavyotaka kutuaminisha. Safari hii mkitudanganya na Ubingwa ukapotea msione tabu kuachia timu, Simba ni kubwa sana na wapo watu wengi wenye uwezo wa kuiongoza.