Viongozi wa Simba wanataka kutuaminisha Simba SC ni unbeaten

Mwaka 2011 Plateau fc 79:0 Akurba hii ndio rekodi ya magoli mengi kwa timu za Africa
 
Simba ni katimu ka kihindi, kalifaa tu kacheze cricket au songi.

Katimu ambako kaliundwa wa watu waliokosa Uzalendo. Muda si mrefu, taifa litaingia aibu sababu ya haka katimu kanakomilikiwa na mwamedi
 
Simba sc msipojifunza kumpa thamani na heshima inauostahili mpinzani wenu, hakika kuna anguko kubwa linakuja kwenu na hamtaamini. Hakuna timu isiyofungwa duniani kote.
Antonio nugaz ameweka picha yenye jezi nambari 17 ya simba kisha ameandika 'wakati mwengine ni vema kuwa mkweli" asante eng asante GSM.

Nb. mikia wata weka wapi sura zao.?
 
Yaani walisajili mbeba viatu?

Mikia akili yao wanaijua wenyewe. Usajili wao ukiacha Chama, ulikuwa wa kuikomoa Yanga. Hasa wakati Yanga ikiwa haina pesa. GSM game changer !

Sasa Mo aweke B20 kama anazo
Aweke 20b kwani Simba Sc ni benki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…