Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kilomoni alipaswa kusikilizwaMo Dewji must go, anatuharibia Simba yetu. Aondoke atuache na Simba yetu
Hahahaaa!Mo ni Manara mwenye hela. Wanatofautiana hapo tu lakini akili zao ziko sawa.
Una undugu na Dewji?Kakusanye Mizimu ya Babu yako Kilomoni muanzishe Simba yenu! Hii ya Msimbazi tuachie na Dewj wetu tubebe Makombe.
Binafsi sijasikia kiongozi yeyote wa Simba akitamka kwamba Simba ina mpango au imemsajili Mukoko Tonombe. Pia mchango wa Morrison sio wa kupuuza, huwezi kumpima mchezaji kwa mechi sita. Hata hizo alizocheza hajaharibu kiasi cha kusemausajili ulikosewaHivi baada ya Kumchukua Morisson Simba ilifaidika na nini? hamjifunzi tu? sasa huyu Tonombe Mukoko mwenye mkataba wa miaka miwili na Yanga ndio atawasaidia nini?
wekeni mzigo mlioahidi mezani , acheni utapeliKakusanye Mizimu ya Babu yako Kilomoni muanzishe Simba yenu! Hii ya Msimbazi tuachie na Dewj wetu tubebe Makombe.
wekeni mzigo mlioahidi mezani , acheni utapeli
Utapeli hauna nafasi simbaMzigo haudaiwi JF nenda Mahakamani ukadai 20B