Viongozi wa upinzani wapewe ulinzi wa Polisi saa 24

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Amemkuta mwanamke kituoni, akalipa nauli ya anakoshuka ,nae akashuka, Akampigia boda boda, wakati anamsubiri kijana wa boda boda.

Akaja mtu akamgusa bega akasema upo chini ya ulinzi akatokea yule mwanamke akamfunga pingu, gari likaenda wakawa wanapumzika wakanunua chips. Wakamuweka kwenye mti wakamuuliza kwanini uchome vitenge.

Akawajibu Samia hakutekeleza maombi yetu, wakamtupa, akahisi hii ni barabara ya mjini akaifuata. Akafika kibanda cha chips akaanguka, akajikuta yupo mwanyamala hospital. John Rambo kafika mjini!

Stori ina mapungufu mengi sana ila twendeni itabainika swali je nani alijua dhamira ya safari ya john rambo!
 
Amemkuta mwanamke kituoni, akalipa nauli ya anakoshuka ,nae akashuka,
Hicho kituo anachosema alikuwa ni pako kipori pana msikiti wa waislamu wa siasa kali halafu sehemu hiyo polisi waliwahi uawa na magaidi

Sijui kilimpeleka nini pale mwanamke huyo wa kiislamu Huenda alikuwa kwenye huo msikiti akikutana na watu kupanga ugaidi
 
Kwa mambo haya yanavyokwenda tumefikia kuwa ni Taifa la wahuni wahuni- uncivilized nation.
 
Yani kwwnye mada zako lazima neno msikiti, uislam au ugaidi lazima viwepo, una shida gani kensh?
 

Huyo mtu ni aliyevilia damu hivi?



Kama ndiye na kuwa bila shaka alijiteka, kumbe akili ya kisoda itakuwa ipi?
 
Huzungumzii mateso na kipigo alichopata, hujaona uvia wa damu mikononi mwake ,huulizii ripoti ya hospitali ila unaharisha ujinga stori Ina mapungufu.
Ndani ya fuvu lako hakuna ubongo bali kuna kitu kinachonuka.
Idiot
 
Mpumbavu mwingine,
Wewe unampangia pa kwenda,pa kuswali au shughuli zake?.
Imbecile
 
Huzungumzii mateso na kipigo alichopata, hujaona uvia wa damu mikononi mwake ,huulizii ripoti ya hospitali ila unaharisha ujinga stori Ina mapungufu.
Ndani ya fuvu lako hakuna ubongo bali kuna kitu kinachonuka.
Idiot
Kaanza huyo kesho atakuja mwingine na muendelezo wa stori!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…