Viongozi wa West Ham wametumia vigezo gani kumpa kazi kocha mbovu David Moyes ?

Kaharibu Manfongo, kaharibu Real Socided na sasa zamu ya kuharibu West Ham
 
hata moyes wa evarton alikua kawaida sana, walikua hawaingii top 4 wakibahatisha ni ueropa. Ila kutokana na uwekezaji wao Moyes akaonekana kocha mzuri
Rutubisha ubongo wako uwe na kumbukumbu msimu wa 2002-2003 Everton iliingia top 4 .
 
Mimi najiuliza kwanini MANCHESTER UNITED walimfukuza
DAVID MOYES ...??

Maana MOYES ni Bora kuliko MOURINHO.
 
Huko kote alikopita akavurunda kwa kiwango ambacho si rahisi kukisimulia maana ni aibu sana , hakupata nafasi hiyo ?
wapi alipewa muda wa kuijenga timu?..man u hakuzidi miezi 10..huwezi jenga timu kwa miezi kumi..man hawatachukua ubingwa mpaka muda wa mkataba wa Moyes uishe
 
Rekodi yake akiwa everton labda ndio imembeba.
 
wapi alipewa muda wa kuijenga timu?..man u hakuzidi miezi 10..huwezi jenga timu kwa miezi kumi..man hawatachukua ubingwa mpaka muda wa mkataba wa Moyes uishe
Kama ni muda alipata Sunderland , lakini iliposhuka daraja akatoka nduki , kwanini asingeanza nayo chini kama Benitez alivyoifanyia Newcastle ?

Kumtetea Moyes lazima uwe na roho ngumu sana !
 
Kaharibu Manfongo, kaharibu Real Socided na sasa zamu ya kuharibu West Ham
aliyeiharibu man u ni ferguson..kaondoka bila kuijenga,kaiacha timu na akina giggs,van persie nk..timu ilikua mkangafu
 


Ni kwa sababu ni mzungu na anatia huruma kukaa bila kazi.
 
Mkosi wa Moyes kaupata pale Oldtraford kwa Mashetani Wekundu. Hapo tu Sir Alex Furgadson alipomloga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…