Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Molinga aligoma kwenda na basi ,lamine moro jana kagoma mazoezi anasema haiwezekani watu wanaotoa msaada mdogo kwa timu ndo wanakuja na ndege ,sisi ambao tunajituma tunakuja na bus
Inashangaza molinga anakwea pipa kwenda huko...