Viongozi wa Yanga mmefanya makosa sana kurudi Chamazi kucheza pale, ule uwanja hautufai

Viongozi wa Yanga mmefanya makosa sana kurudi Chamazi kucheza pale, ule uwanja hautufai

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
Ni jambo la kusikitisha na uzuni sana wachezaji wetu wamepigwa usinga tayari pale Azam Complex hatutakiwi kurudi pale hadi tujiweke sawa.

Tulishawaambia kabla ya match ya Azam VS Yanga wazee kutoka Pemba walikuwa wanausomea ule uwanja wiki zima bado midawa yao inanguvu kwa sasa pale hapatufai.

Cha mwisho nakuomba engineer Hersi mtafute Haji Manara mmalizane nae vizuri atatufelisha yule na champion ipo karibu.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
 
Usinga wapi mi-injection imeshtukiwa
Ni jambo la kusikitisha na uzuni sana wachezaji wetu wamepigwa usinga tayari pale Azam Complex hatutakiwi kurudi pale hadi tujiweke sawa.

Tulishawaambia kabla ya match ya Azam VS Yanga wazee kutoka Pemba walikuwa wanausomea ule uwanja wiki zima bado midawa yao inanguvu kwa sasa pale hapatufai.

Cha mwisho nakuomba engineer Hersi mtafute Haji Manara mmalizane nae vizuri atatufelisha yule na champion ipo karibu.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
 
Usinga wapi mi-injection imeshtukiwa
IMG-20241107-WA0011.jpg
IMG-20241107-WA0011.jpg
 
Uchawi fc mnatapatapa mithili ya mfa maji
 
Manara muuza mechi na tapeli tu harumtak. Kufungwa kawaida ila tukitaka mabadiliko tutamuondoa hesri na gsm.
 
Tuseme hakuna uchawi hata hivyo Azam Complex si uwanja wenye bahati nasi uto tukubali bora tuhamie KMC complex kabla hatujafungwa zaidi, yawezekana ukiacha wachezaji kuchoka pia saikolojia yao ina shida na Azam complex baada ya kufungwa na Azam pale na Baka kutolewa kwa red card .

Tuangalie pia kwanini wachezaji wengine hawachezi kama mshery, kibwana, baleke, shehani, Mkude nk. Hawa wakaa benchi wana vipaji pia ndo maana wako Yanga, wana nguvu na morali zaidi sababu hawajatumika sana. Gamondi aache ubaguzi kuwabania sana, awatumie.

Gamondi aimarishe beki ya kati magoli yote ya msimu huu tuliyofungwa yametokea pale katikati anapocheza Baka au Job.

Azam wameroga uwanja tuhameeeee!!! Quran inasema uchawi upo!!!! Tuhamieeeee Amaan Complex !!

Wanayanga tunajua tumefungwa baada ya beki first eleven wanne Baka, Yao, Boka na Job kukosekana hivyo hatuna shida kufungwa Leo, shida itakuwa tukifungwa tena.
 
Ni jambo la kusikitisha na uzuni sana wachezaji wetu wamepigwa usinga tayari pale Azam Complex hatutakiwi kurudi pale hadi tujiweke sawa.

Tulishawaambia kabla ya match ya Azam VS Yanga wazee kutoka Pemba walikuwa wanausomea ule uwanja wiki zima bado midawa yao inanguvu kwa sasa pale hapatufai.

Cha mwisho nakuomba engineer Hersi mtafute Haji Manara mmalizane nae vizuri atatufelisha yule na champion ipo karibu.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
downloadfile.jpg
 
Watu kama nyie mnaoamini sana ushirikina ni wakukaa nanyi mbali sana. Kumuondoa mtu ni dakika mbili tu.

Kafungwa Man City mechi tatu mfululizo na ya tatu kala 4 ila maisha yanaendelea.
Inategemea na mazingira ya kufugwa huko sio yanga na nbc hii
 
Ila ishu ya manara inaweza.kua kweli aise jamaa yule ukimzarau au kumpa.kisogo kwamba hana maana aise atakachokufanyia utalia
Yule jamaa anajua kukichafua kwa njia zote halali na feki..yaani wamalizane tu
 
Ni jambo la kusikitisha na uzuni sana wachezaji wetu wamepigwa usinga tayari pale Azam Complex hatutakiwi kurudi pale hadi tujiweke sawa.

Tulishawaambia kabla ya match ya Azam VS Yanga wazee kutoka Pemba walikuwa wanausomea ule uwanja wiki zima bado midawa yao inanguvu kwa sasa pale hapatufai.

Cha mwisho nakuomba engineer Hersi mtafute Haji Manara mmalizane nae vizuri atatufelisha yule na champion ipo karibu.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
Sababu kuu ya kutokucheza pale ni uchawi? Ndio mindset hizi halaf unategemea ushinde ligi ya mabingwa afrika?

Top leagues huko ulaya wangekuwa na mindset hizi wangefika hapo walipo?
 
Back
Top Bottom