covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
- Thread starter
- #21
Mpira wa bongo unajulikana ushirikina upo lipo wazi hilo..Sababu kuu ya kutokucheza pale ni uchawi? Ndio mindset hizi halaf unategemea ushinde ligi ya mabingwa afrika?
Top leagues huko ulaya wangekuwa na mindset hizi wangefika hapo walipo?