NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Wote haoMpaka Sasa NALIA NGWENA kutoka kwenye vyanzo vyangu ninavyoviamini Khalid Aucho bado hajaripoti kambini na Goli kipa Diara bado na hakuna taarifa yoyote kuwahusu.
Aucho ndiyo kiungo Bora na ni muhimu sana pamoja na Diara.
Viongozi wekeni wazi wazi wapo wapi Hawa wachezaji?? msisubiri mpaka Simba sc waanze kusambaza propaganda za hovyo Kama walivyofanya kwa CEO MTINE.View attachment 2690235
Wachezaji waliokuwa timu za Taifa walipewa muda wa ziada ya kupumzika....wiki kesho timu itakuwa imekamilika......hao makolo Kuna zaidi ya wachezaji wanne na makocha wao hawapo UturukiMpaka Sasa NALIA NGWENA kutoka kwenye vyanzo vyangu ninavyoviamini Khalid Aucho bado hajaripoti kambini na Goli kipa Diara bado na hakuna taarifa yoyote kuwahusu.
Aucho ndiyo kiungo Bora na ni muhimu sana pamoja na Diara.
Viongozi wekeni wazi wazi wapo wapi Hawa wachezaji?? msisubiri mpaka Simba sc waanze kusambaza propaganda za hovyo Kama walivyofanya kwa CEO MTINE.View attachment 2690235
Mwehu!Yanga hii misimu miwili wametumia nguvu nyingi sana ili kuwaridhisha mashabiki wao.
Sasa hivi nguvu zimeisha, itabaki kuwa timu ya kawaida tu. Kama inavyotakiwa kuwa.
Kumbe sindano huwa zinawaingia ila mnashupaza shingo tu?Yanga hii misimu miwili wametumia nguvu nyingi sana ili kuwaridhisha mashabiki wao.
Sasa hivi nguvu zimeisha, itabaki kuwa timu ya kawaida tu. Kama inavyotakiwa kuwa.
Muda utaongea.Kumbe sindano huwa zinawaingia ila mnashupaza shingo tu?
Sasa elewa gali ndio limewaka.
Taarifa zinasema Midfield Khalid Aucho (53) mwenye uraia wa Uganda anatarajia kuripoti wakati wowote kwenye kambi baada ya kumaliza vikao vya kifamilia.
Ila taarifa za mlimda mlango Dgjui Diarra (44) raia wa Mali bado hazijanufikia.
Duuh hahahahYanga hii misimu miwili wametumia nguvu nyingi sana ili kuwaridhisha mashabiki wao.
Sasa hivi nguvu zimeisha, itabaki kuwa timu ya kawaida tu. Kama inavyotakiwa kuwa.
hawa watakuwa ka likizo kao karefu kidogo,wametumika sana msimu huu..Mpaka sasa NALIA NGWENA kutoka kwenye vyanzo vyangu ninavyoviamini, Khalid Aucho na Goli kipa Diara bado hawajaripoti kambini na hakuna taarifa yoyote kuwahusu.
Aucho ndiyo kiungo bora na ni muhimu sana pamoja na Diara.
Viongozi wekeni wazi, wapo wapi hawa wachezaji? Msisubiri mpaka Simba SC waanze kusambaza propaganda za hovyo kama walivyofanya kwa CEO Mtine.
View attachment 2690235
UmriMkuu kwenye izo mabano ni nini?!
UmriMkuu kwenye izo mabano ni nini?!
Umri waoMkuu kwenye izo mabano ni nini?!
Kwamba aucho ni 53yearsUmri