Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli wewe, mara ngapi Injinia anakwenda kwenye vikao vya CAF akiwa ameiacha Yanga na mechi kubwaKabla ya Game muhimu ya leo ya Yanga na MC Alger kupigwa kulikuwa na Mkutano wa CCM Dodoma wenye lengo la Kumteua Steven Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mkutano uliopuuzwa kabisa na Wananchi wote
Huwezi kuwa na mechi kama hii ukaingia kwenye vikao kama hivyo halafu ukategemea ushindi.
Mmevuna mlichopanda
Msilie, Mama kaagiza point za Simba kesho wagawiwe Yanga waingie roboNdugu mbumbumbu hakuna timu yoyote Duniani inayohusisha makocha professional watakao toa mazoezi Magumu masaa 24 kabla ya mechi.
Ndani ya masaa 24 ni mwendo wa mbinu tu Wala si maguvu.
Post ya kipuuzi kabisa hiiNi dhambi kuisema laana hadharani?
Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana
Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowadtahili ccm
Inakuwaje hii redio haijui? Radio zingine zilimtaja liveKiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Au tuwaachie wacheze kesho wakishinda nao waende robo 🤣😂🤣Msilie, Mama kaagiza point za Simba kesho wagawiwe Yanga waingie robo
Vikao vya CAF vina laana?Sio kweli wewe, mara ngapi Injinia anakwenda kwenye vikao vya CAF akiwa ameiacha Yanga na mechi kubwa
HakikaNi dhambi kuisema laana hadharani?
Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana
Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowadtahili ccm
Injinia pamoja boss kubwa gharibu mwenyewe walikuwepo lakini na ahmedy ally alikuwepo piaKiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Ndugu mbumbumbu Mechi za Yanga na kombe la kina Mama havihusiani kabisaMsilie, Mama kaagiza point za Simba kesho wagawiwe Yanga waingie robo
Engineer alikuwepo kwa Mkapa Labda kama ulimaanisha MangunguInjinia pamoja boss kubwa gharibu mwenyewe walikuwepo lakini na ahmedy ally alikuwepo pia