Viongozi wa Yanga wanaongea kama viongozi wa Ihefu

Sawa muzeye....
 
Upo sahihi na mbaya zaidi waandishi uchwara na wachambuzi wavivu wasiopenda kufanya utafiti watalinganisha cafcc na caf cup
 
Kipindi Yanga anaingia makundi 1998 nyie mlikua wapi?
Nani Utopolo???? Kipindi anakua wa mwisho kwenye group???? Aaaaaa ujinga Gani huuu unaongea wewe Mwiko nyuma[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…