Viongozi waandamizi jifunzeni kujitegemea, mnawatesa wasaidizi wenu kuwatumikisha kinyume na kazi zao

Viongozi waandamizi jifunzeni kujitegemea, mnawatesa wasaidizi wenu kuwatumikisha kinyume na kazi zao

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Kiongozi mwandamizi hana gari binafsi yakutembelea amekalia kutumia gari ya umma kufanya shughuli za Kiserikali na shughuli za familia bila kujali masaa ya kazi kwa madreva na wasaidizi wengine.

Ninaishi na mzee mmoja hapa anatumia gari ya Serikali kama yake binafsi, kila sehemu anapokwenda yeye na familia yake lazima aite gari najiuliza huyu dreva wake anafanya lini shughuli zake binafsi?

Pamoja na mishahara mikubwa waliyonayo wanashindwaje kujenga na kununua gari za familia? Kwanini serikali isiwakopeshe nyumba na magari wawakate kwenye mshahara? Unafanya kazi twenty years unashindwaje kujenga? Christmas hii mmekalia kuwatumikisha wasaidizi wenu kwani wao Awana familia? Utumwa tu

Starehe na majungu tu, Serikali wawakataze hawa viongozi kutumia Mali za umma kwa Mambo yasiyo ya umma, walindeni madreva, walazimisheni Hawa watu kujitegemea.

Wakistaafu ndo wanakwenda kununua viwanja au nyumba kwenye matindiga ya maji kwa kuzoea kufanyiwa na Serikali huku wakikalia majungu, umungu mtu na starehe
 
Jamaa kaandika kwa kutumia Moyo....anaobainisga kabisa kuwa yeye ni dereva wa bosi....pole dereva
Atakuwa anapitia wakati mgum sana, pengine bosi wake anamnyanyasa kama alivosimulia hapo juu.....

Watumishi wengi wa chini wananyanyasika sana, huyo ni dereva bado hujaja kwa maPS hao ndo balaa...kila siku kupigwa miti tu.
 
Kiongoz mwandamizi hana gari binafsi yakutembelea amekalia kutumia gari ya umma kufanya shughuli za kiserikali na shughuli za familia bila kujali masaa ya kazi kwa madreva na wasaidizi wengine.

Nina ishi na mzee mmoja hapa anatumia gari ya serikali kama yake binafsi, kila sehemu anapokwenda yeye na familia yake lazima aite gari najiuliza huyu dreva wake anafanya lini shughuli zake binafsi?

Pamoja na mishahara mikubwa waliyonayo wanashindwaje kujenga na kununua gari za familia? Kwanini serikali isiwakopeshe nyumba na magari wawakate kwenye mshahara? Unafanya kazi twenty years unashindwaje kujenga? Christmas hii mmekalia kuwatumikisha wasaidizi wenu kwani wao Awana familia? Utumwa tu

Starehe na majungu tu, serikali wawakataze hawa viongozi kutumia Mali za umma kwa Mambo yasiyo ya umma, walindeni madreva, walazimisheni Hawa watu kujitegemea.

Wakistaafu ndo wanakwenda kununua viwanja au nyumba kwenye matindiga ya maji kwa kuzoea kufanyiwa na serikali huku wakikalia majungu, umungu mtu na starehe

Umeandika kwa uchungu sana, japo ulijaribu kutuficha lakini haya madhira inaonekana wewe ndiye mhanga! Pole sana DREVA (dereva)

Nasema uwongo ndugu zangu?
 
Kiongoz mwandamizi hana gari binafsi yakutembelea amekalia kutumia gari ya umma kufanya shughuli za kiserikali na shughuli za familia bila kujali masaa ya kazi kwa madreva na wasaidizi wengine.

Nina ishi na mzee mmoja hapa anatumia gari ya serikali kama yake binafsi, kila sehemu anapokwenda yeye na familia yake lazima aite gari najiuliza huyu dreva wake anafanya lini shughuli zake binafsi?

Pamoja na mishahara mikubwa waliyonayo wanashindwaje kujenga na kununua gari za familia? Kwanini serikali isiwakopeshe nyumba na magari wawakate kwenye mshahara? Unafanya kazi twenty years unashindwaje kujenga? Christmas hii mmekalia kuwatumikisha wasaidizi wenu kwani wao Awana familia? Utumwa tu

Starehe na majungu tu, serikali wawakataze hawa viongozi kutumia Mali za umma kwa Mambo yasiyo ya umma, walindeni madreva, walazimisheni Hawa watu kujitegemea.

Wakistaafu ndo wanakwenda kununua viwanja au nyumba kwenye matindiga ya maji kwa kuzoea kufanyiwa na serikali huku wakikalia majungu, umungu mtu na starehe
Fanya kazi, ungesoma ukafaulu vizuri ugekuwa bosi. Je serikali ikiondoa magari na madereva ili viongozi wajiendeshe utajisikiaje?
 
Daaah..! Kusoma, kufaulu vizuri tu angekua BOSI. Kwani unazungumzia kufaulu vizuri ni kuanzia alama/marks ngapi? Division au GPA ya ngapi? Au unazungumzia kufaulu kupi?
 
Atakuwa anapitia wakati mgum sana, pengine bosi wake anamnyanyasa kama alivosimulia hapo juu.....

Watumishi wengi wa chini wananyanyasika sana, huyo ni dereva bado hujaja kwa maPS hao ndo balaa...kila siku kupigwa miti tu.
Ahahahahah duh! Vyenyewe vinataka balaa
 
Kiongoz mwandamizi hana gari binafsi yakutembelea amekalia kutumia gari ya umma kufanya shughuli za kiserikali na shughuli za familia bila kujali masaa ya kazi kwa madreva na wasaidizi wengine.

Nina ishi na mzee mmoja hapa anatumia gari ya serikali kama yake binafsi, kila sehemu anapokwenda yeye na familia yake lazima aite gari najiuliza huyu dreva wake anafanya lini shughuli zake binafsi?

Pamoja na mishahara mikubwa waliyonayo wanashindwaje kujenga na kununua gari za familia? Kwanini serikali isiwakopeshe nyumba na magari wawakate kwenye mshahara? Unafanya kazi twenty years unashindwaje kujenga? Christmas hii mmekalia kuwatumikisha wasaidizi wenu kwani wao Awana familia? Utumwa tu

Starehe na majungu tu, serikali wawakataze hawa viongozi kutumia Mali za umma kwa Mambo yasiyo ya umma, walindeni madreva, walazimisheni Hawa watu kujitegemea.

Wakistaafu ndo wanakwenda kununua viwanja au nyumba kwenye matindiga ya maji kwa kuzoea kufanyiwa na serikali huku wakikalia majungu, umungu mtu na starehe
Pole Mkuuu, hawa Viumbe wanahitaji maombi, kikubwa ni kujituma tu, kwakuwa Viongozi hukai nao milele kwenye utumishi wako muombee huyo Boss wako apate Uteuzi, Uhamisho au astaafu vema ili uondokane na kadhia hiyo maaana ukikata tamaaa na kujawa na hasira utajikuta huku Mtaaani kuungana na sie Wakulima na Biashara ya kudunduliza uanze kukimbizana na TRA napo ni shida haswaaa.
 
Back
Top Bottom