Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yu njianinasubiri kuona bibi yetu kama atapata nafasi ya kualikwa kwa mfalme charles
Hakika. Ipo haja ya vijana kujifunza historia... hati za uhuru wa Tanganyika zilitolewa na Queen Elizabeth II na mumewe Prince Philip kuzikabidhi kwa Nyerere; Dar es Salaam usiku wa kuamkia Desemba 9, 1961 ambapo bendera ya Uingireza ilishushwa n
a ya Tanganyika ikapandishwa rasmi. Hata kama ulikuwa ukoloni, Tanganyika inapaswa kushiriki mazishi ya the Queen.
Kwahiyo tumejipeleka wenyewe tu??They are not. They would've invited bibi tozo to the Queen Elizabeth's private funeral but they have invited south African president instead.