Viongozi waanza kumshika mkono wa pole Mfalme Charles III

Uingereza ni ndugu zetu wa damu.
 
... hati za uhuru wa Tanganyika zilitolewa na Queen Elizabeth II na mumewe Prince Philip kuzikabidhi kwa Nyerere; Dar es Salaam usiku wa kuamkia Desemba 9, 1961 ambapo bendera ya Uingireza ilishushwa na ya Tanganyika ikapandishwa rasmi. Hata kama ulikuwa ukoloni, Tanganyika inapaswa kushiriki mazishi ya the Queen.
 
Hakika. Ipo haja ya vijana kujifunza historia
 
They are not. They would've invited bibi tozo to the Queen Elizabeth's private funeral but they have invited south African president instead.
Kwahiyo tumejipeleka wenyewe tu??

Kwani huo msiba unahudhuriwa kwa kadi??
 
Pole Sana Mheshimiwa Dr King Charles III
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…