Viongozi wakuu wa is katika eneo la sahara wakamatwa

Viongozi wakuu wa is katika eneo la sahara wakamatwa

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Jeshi la Mali limethibitisha kuwakamata viongozi wakuu wa tawi la IS katika eneo la Sahara . Viongozi wa tawi hilo lijulikanalo kama Islamic State in Greater Sahala ( EIGS kwa Kifaransa)walikamatwa kufuatia operesheni ya kijeshi iliyofanyika mnamo Januari 3 2025 katika eneo la Amasarakad linalopatikana katika mkoa wa GAO.

Viongozi waliokamatwa ni Mahamad Ould Erkehile, Abou Rakia pamoja na Abou Hach.

Viongozi hao wanatajwa kuwa vinara wa kupanga na kuratibu mashambulio mbalimbali ya kigaidi nchini Mali tangu mwaka 2012.

CHANZO : Shirika la habari la Mali ( ORTM).
Pichani: Mahamad Ould Erkehile
 

Attachments

  • 20250105_192243.jpg
    20250105_192243.jpg
    73.6 KB · Views: 5
Wameua sana maelfu ya waafrika wasiokua na hatia. Laanatulah
 
Vita kwa jina la dini ni upuuzi. mwingine wa kipumbavu sana
 
Jeshi la Mali limethibitisha kuwakamata viongozi wakuu wa tawi la IS katika eneo la Sahara . Viongozi wa tawi hilo lijulikanalo kama Islamic State in Greater Sahala ( EIGS kwa Kifaransa)walikamatwa kufuatia operesheni ya kijeshi iliyofanyika mnamo Januari 3 2025 katika eneo la Amasarakad linalopatikana katika mkoa wa GAO.
Viongozi waliokamatwa ni Mahamad Ould Erkehile, Abou Rakia pamoja na Abou Hach.
Viongozi hao wanatajwa kuwa vinara wa kupanga na kuratibu mashambulio mbalimbali ya kigaidi nchini Mali tangu mwaka 2012.
CHANZO : Shirika la habari la Mali ( ORTM).
Pichani: Mahamad Ould Erkehile
Mtu anafanya kazi ya kishetani ya kuwaua watu, halafu anaitwa Muhamad!!
 
Back
Top Bottom