Viongozi walewale waliopongeza machinga kupewa Uhuru ni haohao Wana bomoabomoa,Je, tutamkumbuka?

Viongozi walewale waliopongeza machinga kupewa Uhuru ni haohao Wana bomoabomoa,Je, tutamkumbuka?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Kuna watu ndani ya mfumo wa Serikali na chama Tawala wameshaona wananchi si kitu. Leo wakisikia mtu mmoja kasema funga wanasifia, kesho wakisikia fungia wanaendelea kupiga makofi. Watu wa aina hii wameqafanya wananchi kukosa dira na mwelekeo kwa sababu leo wanawaambia wananchi kaeni hapa na msibughudhiwe,kesho wakiamka wanawaambia ondokeni hapa na wananchi wanatii...In longran watafika mahali watachoka kupokea hizi amri na hapo ndipo waonevu wanaolipwa salary na marupurupu watakapolazimika kuwaheshimu wananchi. Tunawayumbusha wananchi bila sababu, tujifunze kuomba utaratibu, tujifunze kusema no.

Leo hakuna meya au diwani au Mbunge anayewatetea wananchi, wote wamekaa kimya kwa sababu wanaamini amri zote za chama chao Tawala ni halali. Hakuna Mbunge Wala Diwani anayejitokeza kushirikiana na wananchi japo kutafuta maeneo mbadala. Wote Wapo busy kustarehe na familia zao wakisubiri msaada wa tume na Polisi 2025. Basi Kama mmeamua hivyo sawa
 
huu ni utamaduni wa viongozi tulionao bara afrika wanaangalia maslahi yao kwanza ndio maana wanakuwa bendera fuata upepo
 
Wananchi wenyewe hawajielewi. Iwapo wananchi wangekuwa wanajitambua hawa viongozi wangekuwa wanafuata kile ambacho wananchi wanahitaji . Kwasababu hawa wananchi hawajielewi wacha wapelekwe vile akili yao inavyopenda
 
Kuna watu ndani ya mfumo wa Serikali na chama Tawala wameshaona wananchi si kitu. Leo wakisikia mtu mmoja kasema funga wanasifia, kesho wakisikia fungia wanaendelea kupiga makofi. Watu wa aina hii wameqafanya wananchi kukosa dira na mwelekeo kwa sababu leo wanawaambia wananchi kaeni hapa na msibughudhiwe,kesho wakiamka wanawaambia ondokeni hapa na wananchi wanatii...In longran watafika mahali watachoka kupokea hizi amri na hapo ndipo waonevu wanaolipwa salary na marupurupu watakapolazimika kuwaheshimu wananchi. Tunawayumbusha wananchi bila sababu, tujifunze kuomba utaratibu, tujifunze kusema no.

Leo hakuna meya au diwani au Mbunge anayewatetea wananchi, wote wamekaa kimya kwa sababu wanaamini amri zote za chama chao Tawala ni halali. Hakuna Mbunge Wala Diwani anayejitokeza kushirikiana na wananchi japo kutafuta maeneo mbadala. Wote Wapo busy kustarehe na familia zao wakisubiri msaada wa tume na Polisi 2025. Basi Kama mmeamua hivyo sawa

Vibanda vya wamaching mtaa wa Msimbazi Kariakoo vinasambaratishwa muda huu​

 
Kuna watu ndani ya mfumo wa Serikali na chama Tawala wameshaona wananchi si kitu. Leo wakisikia mtu mmoja kasema funga wanasifia, kesho wakisikia fungia wanaendelea kupiga makofi. Watu wa aina hii wameqafanya wananchi kukosa dira na mwelekeo kwa sababu leo wanawaambia wananchi kaeni hapa na msibughudhiwe,kesho wakiamka wanawaambia ondokeni hapa na wananchi wanatii...In longran watafika mahali watachoka kupokea hizi amri na hapo ndipo waonevu wanaolipwa salary na marupurupu watakapolazimika kuwaheshimu wananchi. Tunawayumbusha wananchi bila sababu, tujifunze kuomba utaratibu, tujifunze kusema no.

Leo hakuna meya au diwani au Mbunge anayewatetea wananchi, wote wamekaa kimya kwa sababu wanaamini amri zote za chama chao Tawala ni halali. Hakuna Mbunge Wala Diwani anayejitokeza kushirikiana na wananchi japo kutafuta maeneo mbadala. Wote Wapo busy kustarehe na familia zao wakisubiri msaada wa tume na Polisi 2025. Basi Kama mmeamua hivyo sawa
Kwa iyo Miji yetu inayojengwa kwa gharama kubwa unaona sawa iharibiwe kwa watu kujenga vibanda hovyo popote watakapo? Hata barabarani???

Hivi unajua mmachinga halipi kodi?? Kwa iyo unaona sawa kwa mmachinga kujiamulia atakavyo kuharibu utaratibu na miji yetu huku halipi kodi???

Watu wengine mnajionaga mna akili kumbe ni wajinga wa mwisho hapa duniani!

Kuna kosa gani kwa mmachinga kupangwa vizuri?
 
Kwa iyo Miji yetu inayojengwa kwa gharama kubwa unaona sawa iharibiwe kwa watu kujenga vibanda hovyo popote watakapo? Hata barabarani???

Hivi unajua mmachinga halipi kodi?? Kwa iyo unaona sawa kwa mmachinga kujiamulia atakavyo kuharibu utaratibu na miji yetu huku halipi kodi???

Watu wengine mnajionaga mna akili kumbe ni wajinga wa mwisho hapa duniani!

Kuna kosa gani kwa mmachinga kupangwa vizuri?
Huyu jamaa mshamba sana aisee. Machinga sio wafanyabiashara. Mji wa kibiashara umejengwa kwa mpangilio ya wafanyabiashara hili walipe kodi. Machinga ni waharifu wa miundo mbinu, na wachafuzi wa ma,indira. Nimekaa sana kariakoo hawa jamaa ni kero na wana kiburi kinoma yaani
 
Huyu jamaa mshamba sana aisee. Machinga sio wafanyabiashara. Mji wa kibiashara umejengwa kwa mpangilio ya wafanyabiashara hili walipe kodi. Machinga ni waharifu wa miundo mbinu, na wachafuzi wa ma,indira. Nimekaa sana kariakoo hawa jamaa ni kero na wana kiburi kinoma yaani
Wanajifanya wana akili kumbe wamejaza ujinga tu kichwani Mwao!

Yaani miji inayojengwa kwa gharama Kubwa na kodi za wananchi iharibiwe na mtu asiyelipa kodi alafu serikali ikae kimya tu?

Badala ya kuleta nyuzi za kuisisitiza serikali iwajengee vizuri maeneo wanayopelekwa alafu wabadilishwe wawe walipa kodi eti analeta nyuzi ya kutetea wafanye biashara hovyo na kuharibu majiji yetu!
 
Wajinga ndo waliwao
TAGA nakuulliza gharama ya kuwahudumia hawa machinga wote kuwapa mtaji na gharama zingine za kuwajengea soko la kisasa itagharimu Trillion ngapi? Niko tayari kutoa hicho kiasi cha hela.
 
Acheni Unafiki..Hivi nyie mkoje hamna jema??? Nani alilalamika machinga kuziba kila mtaro si nyie??
 
Kuna watu ndani ya mfumo wa Serikali na chama Tawala wameshaona wananchi si kitu. Leo wakisikia mtu mmoja kasema funga wanasifia, kesho wakisikia fungia wanaendelea kupiga makofi. Watu wa aina hii wameqafanya wananchi kukosa dira na mwelekeo kwa sababu leo wanawaambia wananchi kaeni hapa na msibughudhiwe,kesho wakiamka wanawaambia ondokeni hapa na wananchi wanatii...In longran watafika mahali watachoka kupokea hizi amri na hapo ndipo waonevu wanaolipwa salary na marupurupu watakapolazimika kuwaheshimu wananchi. Tunawayumbusha wananchi bila sababu, tujifunze kuomba utaratibu, tujifunze kusema no.

Leo hakuna meya au diwani au Mbunge anayewatetea wananchi, wote wamekaa kimya kwa sababu wanaamini amri zote za chama chao Tawala ni halali. Hakuna Mbunge Wala Diwani anayejitokeza kushirikiana na wananchi japo kutafuta maeneo mbadala. Wote Wapo busy kustarehe na familia zao wakisubiri msaada wa tume na Polisi 2025. Basi Kama mmeamua hivyo sawa
Magufuli angekua hai na yeye angepigwa mvua 30 jela.
 
Ulitaka wafanye nini wakati walishawauzi vitambulisho? Ungeanza kukeme aliyesema wasitolewa humo mitaani ningeona hoja ina mashiko
 
Ahsante ila Joseph msukuma alilikemea CCM wakamwambia akapime mkojo ,, duu akaamua kukaa kimya
Kuna watu ndani ya mfumo wa Serikali na chama Tawala wameshaona wananchi si kitu. Leo wakisikia mtu mmoja kasema funga wanasifia, kesho wakisikia fungia wanaendelea kupiga makofi. Watu wa aina hii wameqafanya wananchi kukosa dira na mwelekeo kwa sababu leo wanawaambia wananchi kaeni hapa na msibughudhiwe,kesho wakiamka wanawaambia ondokeni hapa na wananchi wanatii...In longran watafika mahali watachoka kupokea hizi amri na hapo ndipo waonevu wanaolipwa salary na marupurupu watakapolazimika kuwaheshimu wananchi. Tunawayumbusha wananchi bila sababu, tujifunze kuomba utaratibu, tujifunze kusema no.

Leo hakuna meya au diwani au Mbunge anayewatetea wananchi, wote wamekaa kimya kwa sababu wanaamini amri zote za chama chao Tawala ni halali. Hakuna Mbunge Wala Diwani anayejitokeza kushirikiana na wananchi japo kutafuta maeneo mbadala. Wote Wapo busy kustarehe na familia zao wakisubiri msaada wa tume na Polisi 2025. Basi Kama mmeamua hivyo sawa
 
Kuna watu ndani ya mfumo wa Serikali na chama Tawala wameshaona wananchi si kitu. Leo wakisikia mtu mmoja kasema funga wanasifia, kesho wakisikia fungia wanaendelea kupiga makofi. Watu wa aina hii wameqafanya wananchi kukosa dira na mwelekeo kwa sababu leo wanawaambia wananchi kaeni hapa na msibughudhiwe,kesho wakiamka wanawaambia ondokeni hapa na wananchi wanatii...In longran watafika mahali watachoka kupokea hizi amri na hapo ndipo waonevu wanaolipwa salary na marupurupu watakapolazimika kuwaheshimu wananchi. Tunawayumbusha wananchi bila sababu, tujifunze kuomba utaratibu, tujifunze kusema no.

Leo hakuna meya au diwani au Mbunge anayewatetea wananchi, wote wamekaa kimya kwa sababu wanaamini amri zote za chama chao Tawala ni halali. Hakuna Mbunge Wala Diwani anayejitokeza kushirikiana na wananchi japo kutafuta maeneo mbadala. Wote Wapo busy kustarehe na familia zao wakisubiri msaada wa tume na Polisi 2025. Basi Kama mmeamua hivyo sawa
Utamkumbuka mwenyewe usitujumuishe wote.
 
Back
Top Bottom